TASLIMA
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,013
- 3,572
Na wewe unaamini?Hongera sana kwa kukwepa mtego mkuu
Na wewe unaamini?Hongera sana kwa kukwepa mtego mkuu
Ntaachaje kuamini wakati yeye ndo kasemaNa wewe unaamini?
ahahahNtaachaje kuamini wakati yeye ndo kasema
Siku kadhaa nyuma nilileta uzi unaoelezea jinsi msichana wangu wa kazi anavyonifanyia vituko.
Baada ya Yule binti kulewa na kulala kwenye kochi, nikampeleka chumbani kwake nikamlaza kitandani.
Kesho yake asubuhi nikamwita sebuleni na kumkanya vikali juu ya mwenendo wake.
Sikuishia hapo, nikampigia simu mke wangu na huyo binti akiwepo, nikaweka loud speaker, nikamweleza mke wangu yoooote. Mke wangu alikuwa kimya akisikiliza.
Ndipo Yule binti kwenye huo mkutano akasema ni mke wangu ndio anamtuma. Akasema huwa anatumia simu za wale Mabinti wawili wadogo waliopo nyumbani kuwasiliana, na huo ulikuwa Ni mpango mahsusi kunipima kiwango changu Cha uaminifu.
Baadae mke wangu akanipigia simu na kuniomba msamaha kwa mbinu zake za kipumbavu.
Wanandoa, hasa kina mama. Msiwawekee vishawishi waume wenu viwezavyo kuvunja ndoa zenu.
Vipi ningetembea na Yule binti kisha akashika mimba, Nani ambaye angekuwa analia Kama sio mke wangu mwenyewe ambaye ametasababisha hayo yote?
Kuweni waungwana
Samahani mkuu ila nkeo ni 'mpumbavu', Sasa kwasababu ametumia mbinu kujua kiwango chako cha uaminifu sasa anza rasmi kumla huyo mtoto,hata siku akijua utamweleza tu kuwa unauwezo wa kufanya upumbavu ila ulikuwa umeamua kukausha tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya hapo ungemla kikwelikweli sasa.. Siwezi kulala njaa wakati nyama ipo ndani ebo....!!! Bujibuji,
Jr
🔈🔉🔊📢📣📯🔔🎼🎵🎶🎙️🎤 Ongeza volume kibingwaDah we jamaa unaenda mbinguni haaaki khaaa au demu hana mvuto sema ukweli uende mbinguni Bujibuji haiwezekana aiseee
Sent using Jamii Forums mobile app
🔈🔉🔊📢📣📯🔔🎼🎵🎶🎙️🎤 Ongeza volume kibingwaDah we jamaa unaenda mbinguni haaaki khaaa au demu hana mvuto sema ukweli uende mbinguni Bujibuji haiwezekana aiseee
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya hapo ungemla kikwelikweli sasa.. Siwezi kulala njaa wakati nyama ipo ndani ebo....!!! Bujibuji,
Jr
AminaMkuuu Rasmi Wewe Umekua Daraja Moja Na Yosefu yule wa Agano la kale.
Bora wewe unafanyiwa sexual harassment. Mimi huku nilipo nafanyiwa presidential harassment. U can imagine the feelings.Siku kadhaa nyuma nilileta uzi unaoelezea jinsi msichana wangu wa kazi anavyonifanyia vituko.
Baada ya Yule binti kulewa na kulala kwenye kochi, nikampeleka chumbani kwake nikamlaza kitandani.
Kesho yake asubuhi nikamwita sebuleni na kumkanya vikali juu ya mwenendo wake.
Sikuishia hapo, nikampigia simu mke wangu na huyo binti akiwepo, nikaweka loud speaker, nikamweleza mke wangu yoooote. Mke wangu alikuwa kimya akisikiliza.
Ndipo Yule binti kwenye huo mkutano akasema ni mke wangu ndio anamtuma. Akasema huwa anatumia simu za wale Mabinti wawili wadogo waliopo nyumbani kuwasiliana, na huo ulikuwa Ni mpango mahsusi kunipima kiwango changu Cha uaminifu.
Baadae mke wangu akanipigia simu na kuniomba msamaha kwa mbinu zake za kipumbavu.
Wanandoa, hasa kina mama. Msiwawekee vishawishi waume wenu viwezavyo kuvunja ndoa zenu.
Vipi ningetembea na Yule binti kisha akashika mimba, Nani ambaye angekuwa analia Kama sio mke wangu mwenyewe ambaye ametasababisha hayo yote?
Kuweni waungwana
Mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe, samahan ila mke ni mpumbavuSiku kadhaa nyuma nilileta uzi unaoelezea jinsi msichana wangu wa kazi anavyonifanyia vituko.
Baada ya Yule binti kulewa na kulala kwenye kochi, nikampeleka chumbani kwake nikamlaza kitandani.
Kesho yake asubuhi nikamwita sebuleni na kumkanya vikali juu ya mwenendo wake.
Sikuishia hapo, nikampigia simu mke wangu na huyo binti akiwepo, nikaweka loud speaker, nikamweleza mke wangu yoooote. Mke wangu alikuwa kimya akisikiliza.
Ndipo Yule binti kwenye huo mkutano akasema ni mke wangu ndio anamtuma. Akasema huwa anatumia simu za wale Mabinti wawili wadogo waliopo nyumbani kuwasiliana, na huo ulikuwa Ni mpango mahsusi kunipima kiwango changu Cha uaminifu.
Baadae mke wangu akanipigia simu na kuniomba msamaha kwa mbinu zake za kipumbavu.
Wanandoa, hasa kina mama. Msiwawekee vishawishi waume wenu viwezavyo kuvunja ndoa zenu.
Vipi ningetembea na Yule binti kisha akashika mimba, Nani ambaye angekuwa analia Kama sio mke wangu mwenyewe ambaye ametasababisha hayo yote?
Kuweni waungwana
Saana
Kaka mkubwa hii stori utakuwa umeikatisha, haiwezekani usile hiyo kitu.Siku kadhaa nyuma nilileta uzi unaoelezea jinsi msichana wangu wa kazi anavyonifanyia vituko.
Baada ya Yule binti kulewa na kulala kwenye kochi, nikampeleka chumbani kwake nikamlaza kitandani.
Kesho yake asubuhi nikamwita sebuleni na kumkanya vikali juu ya mwenendo wake.
Sikuishia hapo, nikampigia simu mke wangu na huyo binti akiwepo, nikaweka loud speaker, nikamweleza mke wangu yoooote. Mke wangu alikuwa kimya akisikiliza.
Ndipo Yule binti kwenye huo mkutano akasema ni mke wangu ndio anamtuma. Akasema huwa anatumia simu za wale Mabinti wawili wadogo waliopo nyumbani kuwasiliana, na huo ulikuwa Ni mpango mahsusi kunipima kiwango changu Cha uaminifu.
Baadae mke wangu akanipigia simu na kuniomba msamaha kwa mbinu zake za kipumbavu.
Wanandoa, hasa kina mama. Msiwawekee vishawishi waume wenu viwezavyo kuvunja ndoa zenu.
Vipi ningetembea na Yule binti kisha akashika mimba, Nani ambaye angekuwa analia Kama sio mke wangu mwenyewe ambaye ametasababisha hayo yote?
Kuweni waungwana