Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,470
- 45,614
Kwanza napenda sana kuwashukuru wote ambao huwa mnanitia moyo katika safari yangu ya kupunguza uzito. Katika shauri nilizopata kuna mdau alikuja PM akaniambia nichemshe giligilani ninywe kila asubuhi na wakati wa kulala ndani ya siku moja nitapungua kilo tano.
Kweli nilifanya hivyo siku ya kwanza kweli nilipungua kilo moja siku ya pili kilo moja. Usiku wake sasa nikaanza sana kuumwa na tumbo na kichwa .tumbo lenyewe likawa linauma kama la period. Hazikuwa tarehe zangu ilikuwa kama bado week moja hivi kwahiyo nikajua labda ni ovulation
asubuhi nikakuta hali sio hali yaani duka la always limehamia kwenye pochi yangu jamani nitaishiwa damu mimi nifanyeje.
Nawashauri wajawazito wakae mbali na hili jani ndo lililoniletea majanga
Kweli nilifanya hivyo siku ya kwanza kweli nilipungua kilo moja siku ya pili kilo moja. Usiku wake sasa nikaanza sana kuumwa na tumbo na kichwa .tumbo lenyewe likawa linauma kama la period. Hazikuwa tarehe zangu ilikuwa kama bado week moja hivi kwahiyo nikajua labda ni ovulation
asubuhi nikakuta hali sio hali yaani duka la always limehamia kwenye pochi yangu jamani nitaishiwa damu mimi nifanyeje.
Nawashauri wajawazito wakae mbali na hili jani ndo lililoniletea majanga