mjoli wa kweli
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 630
- 381
Mkuu bado mnaangaliana tu au ushampa nauli ya kwenda kwao?
Arabiotoo mamalai?Usimuache mkeo/mumeo isipokua kwa uzinzi.
Mimi ni mwanamke lakini nakwambia ikifikia hatua mwanamke kakuchiti jua amekuchoka hadi mwisho...sisi huwa tunapenda ndo tunagawa mbunye nyinyi wenzetu huwa mnatamani tu na kusuuza rungu,huwa hampendi pengine kwa dhati kama ilivyo sisi,hakunaga bahati mbaya kwa mke wa mtu kugawa mapenzi jua kapenda
Trust me unaishi na nyoka
Yani mtu acheat alafu asamehewe¿????? We unaweza kumsamehe mume mchepukaji????Samehe msonge mbele
Mradi aahidi kutorudia
Ndoa sio lelemama
Wengine watakushauri umuache mkeo wakati wao wanafumania live live na hawaachi
Mbana mnasamehewa sana tuYani mtu acheat alafu asamehewe¿????? We unaweza kumsamehe mume mchepukaji????
Una hakika kuwa ni wa kwakoAsante mkuu lakini tuna mtoto mdogo wa mwaka mmoja
Mwache aondoke yani kakucheat na haonyeshu kujutia, hata kuomba msamaha sa kinafiki huyo hakupendi.Nisaidieni maana mpaka sasa sjajua cha kufanya nmeondoka nyumbani kuja ofsin lkn sijisikii vzr kabisa nimemtumia sms nisimkute hom akasema anamsubiri mtoto atoke shule ili andoke naye na anajua mi ninavyompenda watoto wangu nimemwambia aondoke na mdogo nibaki na mkubwa anasema hawezi kuhacha mtoto labda afe
KabisaaUna hakika kuwa ni wa kwako
Muombe tigoNdugu zangu naomba nilete mrejesho wa ushauri wenu,
Ni majuzi nilifungu uzi hapa, unaosema hivi Mke mwenye wivu uliopitiliza nilipitia kila coment ya mtu wengi walinambia huyo atakua anakusaliti hivyo anajikinga.
Mimi ni muoga sana sipendagi kumfatilia hata simu yake sitakagi kushika, nilimwambia mke wangu nimeulizia kwa watalaamu wa mahusiano wameniambia wewe utakua ndo mchepukaji.
Alistuka sana mpaka nikahisi kuna kitu, juzi tumezinguana kidogo, zimepita siku tatu maelewano hakuna kabisa mpaka leo asubuhi nimeamka nikashika simu yake sikuamini macho yangu, nimekuta SMS anachat na jamaa ambaye ni mpangaji mwenzetu sehemu nilipomfungulia ofisi kwakweli nimeumia sana nilichofanya ni kumnyang'anya funguo za ofisi kuna mdogo wangu ndo kaenda kufungua, mimi mwenyewe nimeshindwa kufanya kazi nimerudi nyumbani tupo tunaangaliana tu sina cha kumfanya.
Naombeni ushauri mwingine
Kama amesema hivyo, mwache aende anakokwenda . kama ni hasira tu mtayamaliza tu mbele ya safari lakini kama anaondoka kwa sababu ya huyo jamaa mwingine hawawezi kudumu kabisaaa na atakukumbuka na nina hakika hakuna mwanamke anaeondolewa kwenye ndoa yake na mwanaune mwingine halafu akaolewa nae.Nisaidieni maana mpaka sasa sjajua cha kufanya nmeondoka nyumbani kuja ofsin lkn sijisikii vzr kabisa nimemtumia sms nisimkute hom akasema anamsubiri mtoto atoke shule ili andoke naye na anajua mi ninavyompenda watoto wangu nimemwambia aondoke na mdogo nibaki na mkubwa anasema hawezi kuhacha mtoto labda afe
Wanawake wana tamaa ya hela ndefu nilijibana asikae nyumbani nikamfungulia duka la ml 3 uyu jamaa ana maduka ya jumla hapa jiran
fukuza fukuzaaa hyo ameshakuwa kirusiNdugu zangu naomba nilete mrejesho wa ushauri wenu,
Ni majuzi nilifungu uzi hapa, unaosema hivi Mke mwenye wivu uliopitiliza nilipitia kila coment ya mtu wengi walinambia huyo atakua anakusaliti hivyo anajikinga.
Mimi ni muoga sana sipendagi kumfatilia hata simu yake sitakagi kushika, nilimwambia mke wangu nimeulizia kwa watalaamu wa mahusiano wameniambia wewe utakua ndo mchepukaji.
Alistuka sana mpaka nikahisi kuna kitu, juzi tumezinguana kidogo, zimepita siku tatu maelewano hakuna kabisa mpaka leo asubuhi nimeamka nikashika simu yake sikuamini macho yangu, nimekuta SMS anachat na jamaa ambaye ni mpangaji mwenzetu sehemu nilipomfungulia ofisi kwakweli nimeumia sana nilichofanya ni kumnyang'anya funguo za ofisi kuna mdogo wangu ndo kaenda kufungua, mimi mwenyewe nimeshindwa kufanya kazi nimerudi nyumbani tupo tunaangaliana tu sina cha kumfanya.
Naombeni ushauri mwingine
kwani alipokuwa anagegedwa hakujua kuwa ana mtoto mdogo wa mwaka mmoja...Asante mkuu lakini tuna mtoto mdogo wa mwaka mmoja