Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,270
Usiamini kila ukionacho hata mkaka si hung'aa kama dhahabu.Nina picha zao mkuu!.......nizitupie hapa??
Usiamini kila ukionacho hata mkaka si hung'aa kama dhahabu.Nina picha zao mkuu!.......nizitupie hapa??
Kwa hiyo picha zao nilizonazo wakikulana nisiziamini???!Usiamini kila ukionacho hata mkaka si hung'aa kama dhahabu.
Naona kawahi siti atarudiMtu anaomba ushauri Wewe unaandika first to reply!
Madhara ya kunywa balimi haya
Usikute wala hajavutiwa na hayo maduka! Hebu cheki ni wapi umepunguza?Wanawake wana tamaa ya hela ndefu nilijibana asikae nyumbani nikamfungulia duka la ml 3 uyu jamaa ana maduka ya jumla hapa jiran
Kasema hajui la kumfanya. Ajitahidi basi kama general Constantino wa Zimbombo japo na yeye mpaka sasa hajui la kumfanya MugabeChukua uamuzi haraka
Mfanyee tu mkuuNdugu zangu naomba nilete mrejesho wa ushauri wenu,
Ni majuzi nilifungu uzi hapa, unaosema hivi Mke mwenye wivu uliopitiliza nilipitia kila coment ya mtu wengi walinambia huyo atakua anakusaliti hivyo anajikinga.
Mimi ni muoga sana sipendagi kumfatilia hata simu yake sitakagi kushika, nilimwambia mke wangu nimeulizia kwa watalaamu wa mahusiano wameniambia wewe utakua ndo mchepukaji.
Alistuka sana mpaka nikahisi kuna kitu, juzi tumezinguana kidogo, zimepita siku tatu maelewano hakuna kabisa mpaka leo asubuhi nimeamka nikashika simu yake sikuamini macho yangu, nimekuta SMS anachat na jamaa ambaye ni mpangaji mwenzetu sehemu nilipomfungulia ofisi kwakweli nimeumia sana nilichofanya ni kumnyang'anya funguo za ofisi kuna mdogo wangu ndo kaenda kufungua, mimi mwenyewe nimeshindwa kufanya kazi nimerudi nyumbani tupo tunaangaliana tu sina cha kumfanya.
Naombeni ushauri mwingine
Hapo ndipo unapata kuwa kusimama kama mwanaume na kutoa uamuzi mgumuKasema hajui la kumfanya. Ajitahidi basi kama general Constantino wa Zimbombo japo na yeye mpaka sasa hajui la kumfanya Mugabe
mkuuMtu anaomba ushauri Wewe unaandika first to reply!
Madhara ya kunywa balimi haya
Mtoto ni wako kweli mkuu?Asante mkuu lakini tuna mtoto mdogo wa mwaka mmoja
Sasa huyo hakupendi... hivi na wewe unaogopa kuhusu watoto waachae aende nao wakimshindwa atawarudishaNisaidieni maana mpaka sasa sjajua cha kufanya nmeondoka nyumbani kuja ofsin lkn sijisikii vzr kabisa nimemtumia sms nisimkute hom akasema anamsubiri mtoto atoke shule ili andoke naye na anajua mi ninavyompenda watoto wangu nimemwambia aondoke na mdogo nibaki na mkubwa anasema hawezi kuhacha mtoto labda afe
Nisaidieni maana mpaka sasa sjajua cha kufanya nmeondoka nyumbani kuja ofsin lkn sijisikii vzr kabisa nimemtumia sms nisimkute hom akasema anamsubiri mtoto atoke shule ili andoke naye na anajua mi ninavyompenda watoto wangu nimemwambia aondoke na mdogo nibaki na mkubwa anasema hawezi kuhacha mtoto labda afe
Nimependa ushauri wakoKila ndoa watu wangekuwa wanaachana hivyo. Pple zingebaki single nyingi
Kaa angalia ukimuacha na kuto muacha faida na hasara ipo wapi
Wakati mwingine ushauri mzuri ila ndoa nyingi zinavunjika sababu ya ushauri wa watu kutoka nje, kaa alone jiulize maswali unakosea wapi, ila mpe adhabu ya kuto muuliza, ukiona hasira zimeisha na maamuz yanatoka ndani ya moyo.wako utaamua kumuacha au kumsamehe na kumpa onyo.
Nyumba zinaficha mengi, paa linasikia mengi, kuta, ardhi, milango na madirisha na mbingu zinasikia mengi, lakin huyakuti nje. Tumia hekima na busara vzr
Ndoa sio ya watu weengi au ya group ndoa ni yako na mkeo hivyo amua kama wewe na mkeo
Ushauri unaweza jenga na pia kubomoa kuwa makini na ushauri pia.