Mkamba Pazuri
Member
- Jul 18, 2017
- 77
- 27
Habari za Jumatatu wana JF, hongereni kwa majukumu,
Nilileta uzi hapa unaosema; Msaada: Mfanyakazi mwenzangu anasema ameshamla sana mpenzi wangu wa sasa
Kwa kweli nawashuru sana kwa ushauri mlionipatia juu ya huyu mchumba wangu na huyu mfanyakazi mwenzangu, nimeufanyia kazi na umenisaidia sana, pengine bila nyinyi ningechukua uamuzi usiofaa.
Nawashukuru sana, kutoka ndani ya moyo wangu, Mungu awabariki sana wote kwa ujumla wenu na waanzilishi wa JF, ASANTENI SANA, TUFANYE KAZI TUJENGE TAIFA LETU!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilileta uzi hapa unaosema; Msaada: Mfanyakazi mwenzangu anasema ameshamla sana mpenzi wangu wa sasa
Kwa kweli nawashuru sana kwa ushauri mlionipatia juu ya huyu mchumba wangu na huyu mfanyakazi mwenzangu, nimeufanyia kazi na umenisaidia sana, pengine bila nyinyi ningechukua uamuzi usiofaa.
Nawashukuru sana, kutoka ndani ya moyo wangu, Mungu awabariki sana wote kwa ujumla wenu na waanzilishi wa JF, ASANTENI SANA, TUFANYE KAZI TUJENGE TAIFA LETU!
Sent using Jamii Forums mobile app