Mrejesho kutoka kwa waliowahi kutumia dawa za nguvu za kiume

Dawa za nguvu kama vitamin au dawa za preasure au diabetic. Zote zinasaidia tu performance tako ..ukitaka ya kudumu hamna kabisa
 
mie nimewahi tumia vumbi la kongo ile kitu noma haitibu tatizo ila inasaidia kuficha aibu kwa mechi za ugenini na nilipata kwa member wa jf humu humu
Kasongo au kule linaitwa KAPOMPEEE mkitaka niambieni
 
Vumbi lá kongo ati!

Pichá linaanza vumbi likizamishwa kwa mafuta mgando kisha kichwa cha dudu kinalamba vumbi kwa mzungusho.
Alafu kwambaali kidizain flan kama dudu inaanza kuvuta mara ganzi inaanza kunyemelea mlingoti mzima. Dakik 10 baadae mambo si mchezo ganzi inasambaa mubasharaaaa kwenye mlingot mzima na kwa mbali mithili ya pilipili inaanza kuwasha fimbo sasa hapo ndo utajua kwann kabila ni gaidi. Nusu saa hadi masaa 2 baadae hali tete ya pilipili inachachamaa na mnyama ukimgusa husikii chochote kwa kipigo cha ganzi kuu ukijumlisha muwasho wa pilipili. Unaamini sasa hapa mechi imepata mchezaji.

Unaingia uwanjani kitu kipo mnara. Mpinzani anatahamaki kuona kitu kinazama golini Na kufukunyua nyavu dk 20 bila kuchomoka wala kulala. Anachukulia powa. Mara anaona kamanda ndo kwanza anaongeza spidi akat yy kafika mwisho. Patamu hapo ......tô be continue

[HASHTAG]#chamkongo[/HASHTAG]
Duh!!!
 
ukitumia zile dawa original zinasaidia sana unaweza ukakesha unakula mzigo
 
Nimetumia zaidi ya asilimia 80 hazitibu trust me okoa pesa yako mimi nilitibiwa na mzee mmoja tena baada ya kukaa miezi minne bila kufanya ngono nilikuwa Chaputa mzuri...nkapona kwa dawa ya mzee mmoja sio mganga wala nini ni mzee tu wa miaka km 90 hivi arusha ndani ndani unaweza pona ila sio kwa ndodi,mwaka wala hao wengine wengine kibao wa hapo dar...nimetumia more than 2milion....tatizo la nguvu za kiume sa kwa njia ya punyeto na porno HAWANA DAWA HIYO...wapuuzie au nenda kaliwe pesa zako...
Mkuu umetisha
 
mie nimewahi tumia vumbi la kongo ile kitu noma haitibu tatizo ila inasaidia kuficha aibu kwa mechi za ugenini na nilipata kwa member wa jf humu humu
nakubaliana na wewe ile kitu muhimu sna mechi za ugenini na mara mbili kwa mwezi home ground
 
Vumbi lá kongo ati!

Pichá linaanza vumbi likizamishwa kwa mafuta mgando kisha kichwa cha dudu kinalamba vumbi kwa mzungusho.
Alafu kwambaali kidizain flan kama dudu inaanza kuvuta mara ganzi inaanza kunyemelea mlingoti mzima. Dakik 10 baadae mambo si mchezo ganzi inasambaa mubasharaaaa kwenye mlingot mzima na kwa mbali mithili ya pilipili inaanza kuwasha fimbo sasa hapo ndo utajua kwann kabila ni gaidi. Nusu saa hadi masaa 2 baadae hali tete ya pilipili inachachamaa na mnyama ukimgusa husikii chochote kwa kipigo cha ganzi kuu ukijumlisha muwasho wa pilipili. Unaamini sasa hapa mechi imepata mchezaji.

Unaingia uwanjani kitu kipo mnara. Mpinzani anatahamaki kuona kitu kinazama golini Na kufukunyua nyavu dk 20 bila kuchomoka wala kulala. Anachukulia powa. Mara anaona kamanda ndo kwanza anaongeza spidi akat yy kafika mwisho. Patamu hapo ......tô be continue

[HASHTAG]#chamkongo[/HASHTAG]
Sijui nimalizie hii muvi
 
Hahahaa ulikanao uliwachungulia au ulikaa nao vip mkuu
Tumeshakaa nao kwenye kijiji kimoja huko pande za Monduli. Hii inajumuisha pissing together, occasionally swimming together, na nature ya hawa mabwana kupenda kujiachia bila soni. Ushaona wapi mmasai anaona aibu kuexpose utupu wake
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom