orangutan
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 759
- 772
Naomba wale wote ambao wamewahi kutumia madawa na mizizi ya kimasai na hawa waganga wa kienyeji wasioisha ili kuongeza urefu na unene wa pampu pamoja na perfomance ya kitandani waje hapa jukwaani watupe mrejesho kama kweli wamepata suluhisho la kudumu.
Nia ni kwamba tunataka tujue kama kweli hawa wamaasai na waganga uchwara wa nguvu za kiume kama mizizi yao inasaidia kweli ili nasisi wenye vibamia na perfomance ya dakika mbili tuwahi mapema tukapate tiba tuanze kuinjoi raha ya u-mandingo!
Nia ni kwamba tunataka tujue kama kweli hawa wamaasai na waganga uchwara wa nguvu za kiume kama mizizi yao inasaidia kweli ili nasisi wenye vibamia na perfomance ya dakika mbili tuwahi mapema tukapate tiba tuanze kuinjoi raha ya u-mandingo!