Prodigy Oligarchy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2020
- 571
- 643
Hakiombeki!!Watu wote hapa nyumbani na kazini hamna mtu anayejua kuendesha manual mkuu.hata jirani .
Haha
Hakiombeki!!Watu wote hapa nyumbani na kazini hamna mtu anayejua kuendesha manual mkuu.hata jirani .
Kwa gari ndogo zinachosha ila si ma v8Tengua kauli mzee!
Manual ya kazi gani... chura na mipapaso huifanyi kwa raha kama ukiwa na AutoHii karne ya 21 kununua manual ni kurudi nyuma.
Hamjawahi kuendesha manual cars nyie. Unachoka vipi sasa mguu? Kwa kazi ipi hiyo?
Hello Team Magari ,
Asanteni sana kwa ushauri mlionipa nimefanikiwa kukiagiza hichi Jimny na kimeshafika nyumbani .
Kutoka Dar mpaka Arusha kilikula mafuta ya elfu 80000.mpaka kimefika nimetumia 9,7 milioni .Kutoka dar turbo Ilikuwa inafunguka kufika Bagamoyo ika stack.Ndio hiyo tuu shida kidogo tu.
Asanteni sana.
Hii manual gear inatesa sana sijawahi endesha hii gari .Mpaka natamani kuiacha nitembee kwa mguu View attachment 1979780View attachment 1979781
Hujui endesha manual.. acha Lia liaHello Team Magari ,
Asanteni sana kwa ushauri mlionipa nimefanikiwa kukiagiza hichi Jimny na kimeshafika nyumbani .
Kutoka Dar mpaka Arusha kilikula mafuta ya elfu 80000.mpaka kimefika nimetumia 9,7 milioni .Kutoka dar turbo Ilikuwa inafunguka kufika Bagamoyo ika stack.Ndio hiyo tuu shida kidogo tu.
Asanteni sana.
Hii manual gear inatesa sana sijawahi endesha hii gari .Mpaka natamani kuiacha nitembee kwa mguu View attachment 1979780View attachment 1979781
Ukipata ya 5M nishtue mkuu nataka automatic lakini. Serikali initese na gari/ manual initese pia?? HapanaaaaHizo hapo mkuu .View attachment 1981076
Ukipata ya 5M nishtue mkuu nataka automatic lakini. Serikali initese na gari/ manual initese pia?? Hapanaaaa
Bado traffic man
Hell noUnakauza?
Ni kwa ajili ya kwenda kiraracha mkuu.Hell no
We mwenyewe utakuta unalea watoto sio wakoVijana siku hizi laini sana, yani kubadilisha gia wanachoka....
Ndo mana madem zao wanasaidiwa....
Dunia ipo mbioni kuzindua magari yasiyo na Dereva mtu upo manual....unatafuta nini hasaHii karne ya 21 kununua manual ni kurudi nyuma.
Wewe kweli ccm muziki kwa fikra hiziDunia ipo mbioni kuzindua magari yasiyo na Dereva mtu upo manual....unatafuta nini hasa
We hujui manual ukiwa na cc kubwa unapita hata na namba 4 ila ukiwa na hizi za cc ndogo lazima uludi 2Mzee CC inauhusiano gani na bamzi? Kwamba ukiwa na CC kubwa unafukia tu matuta.