Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,111
- 2,759
- Thread starter
- #41
Thanks man tatizo budget yangu Ilikuwa milioni 9 na sasa hivi naona vinazidi kupanda bei mkuu .unajua kipya ni 70 milioni?Hiki kigari shida hakipo stable hasa offroad kepesi mno sijui walikakosea chassis yake vipi.
Ila mkuu ungechukua ya 1.3L/1.4L manual isio na turbo ndo vina nguvu sana kote kambi!
Yote kwa yote hongera mkuu