chichimizi
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,074
- 338
Shukrani sana ziwaendee wakuu humu jamvini.
Mwishoni mwa wiki iliyopita nilileta Uzi wangu humu kuhusu mke kuchelewa kujifungua hadi wiki la 41 mwishoni....nilipata ushauri safi na ulionifanya moyo wangu kutulia kutoka kwa manguli wa mambo ya uzazi kupitia humu jamviniAsanteni sana wakuu.
Lengo la Uzi nikutaka kuleta mrejesho kuwa jana mnamo majira ya saa 5 usiku mke wangu alianza kuumwa tumbo la uchungu......kidume nilifurahi sana japokuwa alikua alikua anaumwa nilijua anaumwa kwa Heri tufasta nikatekenya kamkweche kangu (corrola)fasta hospital nakulazwaa hatimaye asubuhii amejifungua salama kwa njia ya kawaida...mtoto wa kike mungu ashukuriwe sana Yani.
Am a new dady in town now.
Shukrani ziwafikie wanajamvi wote.
Nimeplani kumpa jina aitwe LETRISHA .. .....
Sio mbaya kama mtanisaidia pia kumchagulia jina zuri....
NB:jina liwe la kicute maana mtoto mwenyewe ni mcute hatareee
Mwishoni mwa wiki iliyopita nilileta Uzi wangu humu kuhusu mke kuchelewa kujifungua hadi wiki la 41 mwishoni....nilipata ushauri safi na ulionifanya moyo wangu kutulia kutoka kwa manguli wa mambo ya uzazi kupitia humu jamviniAsanteni sana wakuu.
Lengo la Uzi nikutaka kuleta mrejesho kuwa jana mnamo majira ya saa 5 usiku mke wangu alianza kuumwa tumbo la uchungu......kidume nilifurahi sana japokuwa alikua alikua anaumwa nilijua anaumwa kwa Heri tufasta nikatekenya kamkweche kangu (corrola)fasta hospital nakulazwaa hatimaye asubuhii amejifungua salama kwa njia ya kawaida...mtoto wa kike mungu ashukuriwe sana Yani.
Am a new dady in town now.
Shukrani ziwafikie wanajamvi wote.
Nimeplani kumpa jina aitwe LETRISHA .. .....
Sio mbaya kama mtanisaidia pia kumchagulia jina zuri....
NB:jina liwe la kicute maana mtoto mwenyewe ni mcute hatareee