Jamaa amefanya uswahili mtupu.Mkuu kumbe uligyokaribishwa ulibeba tena na rafiki zako??au me sijaelewa.
Amezingua sana,angekuwa mtu mwingine angewabalasa.Jamaa amefanya uswahili mtupu.
Ni kama wale mademu onawapa ofa ya lunch anakuja na lundo la marafiki.
Hata huyo mwenyeji wako aliye kuhost atambue kuwa adui Wa binadamu ni binadamu, pia atambue kuwa wema ni ajali maisha ya sasa ogopa sana kukaribisha watu usiowafahamu nyumbani kwako iko siku utalia na hakutakuwa na mtu Wa kukufuta machozi.
Kwahiyo unamshauri next time, asikaribishe mtu sio? Unaona upo salama sana kwamba katika maisha yako hutohitaji msaada kutoka kwa mtu usiyemfahamu?? Assume watu wote wawe na roho kama ya kwako kwamba kumsaidia mtu lazima umfahamu, unadhan Dunia itakuwa sehemu salama ya kuishi chief??
Ni kawaida sana kwa wanawake.... unamtoa out anakuja na mashosti zake. Dawa ni kuwamega mmoja baada ya mwingineMkuu kumbe uligyokaribishwa ulibeba tena na rafiki zako??au me sijaelewa.
Jamii ina watu wa kila aina haiwezi kuwa na watu wanaofanana, kuna wenye roho ya kusaidia bila kujali yajayo na kuna wenye roho kama yako pia, ndio keshamsaidia hivyo!Hata huyo mwenyeji wako aliye kuhost atambue kuwa adui Wa binadamu ni binadamu, pia atambue kuwa wema ni ajali maisha ya sasa ogopa sana kukaribisha watu usiowafahamu nyumbani kwako iko siku utalia na hakutakuwa na mtu Wa kukufuta machozi.
Hata huyo mwenyeji wako aliye kuhost atambue kuwa adui Wa binadamu ni binadamu, pia atambue kuwa wema ni ajali maisha ya sasa ogopa sana kukaribisha watu usiowafahamu nyumbani kwako iko siku utalia na hakutakuwa na mtu Wa kukufuta machozi.
Lakn Mara nyingi mtu hujifunza mpaka yamkute. Kama hayajawahi kukukuta utaona Nina roho mbayaKwahiyo unamshauri next time, asikaribishe mtu sio? Unaona upo salama sana kwamba katika maisha yako hutohitaji msaada kutoka kwa mtu usiyemfahamu?? Assume watu wote wawe na roho kama ya kwako kwamba kumsaidia mtu lazima umfahamu, unadhan Dunia itakuwa sehemu salama ya kuishi chief??
Acha upuuuzi wako, kama huna cha kucoment pita kimia tutaelewa. Usijifanye mjuaji kumbe bure tu.Lakn Mara nyingi mtu hujifunza mpaka yamkute. Kama hayajawahi kukukuta utaona Nina roho mbaya
Hao safi ukiamua kuwararua unaangusha mmoja baada ya mwingine kila mtu kwa wakati wake....Jamaa amefanya uswahili mtupu.
Ni kama wale mademu onawapa ofa ya lunch anakuja na lundo la marafiki.
Fala nini? ww ni nani unipangie cha kucoment, ? Ww ukiona ushauri wangu haufai Achana naoAcha upuuuzi wako, kama huna cha kucoment pita kimia tutaelewa. Usijifanye mjuaji kumbe bure tu.