Yerusalem
Member
- Oct 5, 2011
- 71
- 72
Mkuu umefanikiwa kujiunga?Kama bado tukutumie link ujiungeNimejaribu kujiunga na group la WhatsApp la lake zone nikaambiwa limejaa... Naomba nijue nafanyaje namna ya kulipia na kuattend hiyo class
Mkuu umefanikiwa kujiunga?Kama bado tukutumie link ujiungeNimejaribu kujiunga na group la WhatsApp la lake zone nikaambiwa limejaa... Naomba nijue nafanyaje namna ya kulipia na kuattend hiyo class
Follow this link to join Forex Dodoma WhatsApp group: FOREX CENTRAL ZONEHomeboy tutengeneze group letu la Dom tujikusanye kiurahisi
Mkuu hapo ofcn hawakuwa na jibu?Mkuu Ontario nimefika Leo ofisini kwenu nimeambiwa next week hamtakuwa na training Dar mtakuwa Mwanza ,
Dar training ni tarehe ngapi tena?????
Fresh mkuuKabla hujashutumu ndugu fikiri!!!!
Majibu ya secretary anasema hajui ni lini they'll be in dar, so ulitegemea nisiulize kwa muhusika mkuu kama pale sikupata jibu ambalo halikuniridhisha?????
I know what am doing!!!!! So wewe nasubiri muhusika anijibu coz wewe huna jibu la swali langu!!!!!!!!!
Lot size 0.01 - $29 per trade... Trust the Process.
Mkuu wekeni vigezo vya hiyo biashara niwe na nini na nini, na niwe na elimu gani?You can make EXCUSES and earn SYMPATHY, OR
You can make MONEY and earn ADMIRATION.
The choice is always yours...
Mkuu niwe na vigezo gani kujiunga hapoHongera sana mkuu....waache waendelee kuamini hivyo hivyo sisi tunapiga hela
Uwe na akili ya kusoma sababu za kuchange kwa hela za nchi mbali mbali nakujua kutabiriMkuu wekeni vigezo vya hiyo biashara niwe na nini na nini, na niwe na elimu gani?
Ok.. Kwa mm mgeni kabisa nianze nini sasa?Uwe na akili ya kusoma sababu za kuchange kwa hela za nchi mbali mbali nakujua kutabiri
Anza na huu mtiririko..Ok.. Kwa mm mgeni kabisa nianze nini sasa?
Au niende tu mojamoja ofisini?
Marketing manager wa TMT, upo Mzee babaAnza na huu mtiririko..
1. Soma vitabu (vipo ukitaka wadau watakupa)
2. Piga demo account
3. The nenda kwenye training
All in all hivi ndio vitu vya muhimu kwenye hili gemu...
1. Your mentality. How can you handle stress and defeat?
2. Knowledge. Utaipata kwa kusoma zaidi na zaidi
Hata ukienda traning haimaanishi uache kusoma. Kwa kifupi kama sio mpenzi wa kusoma basi huku utaona pagumu!!
3. Capital
4. Pc au smartphone au vyote plus internet
Southern highlands,tufanyie Iringa au MbeyaWadau wa southern zone mpooo!!! mzee baba Ontario katuweka kwa listi, tutaftane aisee
Mimi ni Upepo wa Pesa na sio "marketing manager wa TMT"!Marketing manager wa TMT, upo Mzee baba
Lot size 0.01 - $29 per trade... Trust the Process.
Umetaja Jina lako wakati mimi nimetaja CHEO chakoMimi ni Upepo wa Pesa na sio "marketing manager wa TMT"!
Kama unawataka marketing managers wa TMT nenda pale mjengoni kwao utawakuta, sawa sawa??