bending moment
Member
- Jul 9, 2017
- 53
- 57
habari tena wakuuu...mbna maelezo ya ontario na sectretary wake yanapishana...ontario alisema kwamba watu 300 wa mwanzo watalipia 65k as fee baada ya hapo watalipia 130k...but nmeongea na secretary wake kasema nilipie 130k then niaze darasa tar 2 octbr ...sasa najiuliza wikii hiii watu 300 wataishaje wakati ndo kwanza wapo batch ya pili na bado watu 100...?mweny uelewa hapa anieleweshe npo mkoani nataka nitimbe dsm