Salute bosses
Awali ya yote ningeomba nitoe shukrani zangu za dhati kwa team nzima ya Jamii Forums. Bila hii platform kiuhalisia wengi wetu wangekua bado wapo gizani, nisingekua inspired kushare hii knowledge, apparently tusingefika hapa tulipofika. Siku kadhaa za nyuma mimi na team yng tulibahatika kukutana na baadhi ya viongozi wa JF, CEO - max, dada Ashadii, content manager na moderator. Natanguliza shukrani nyingi sana kwa ushauri mlionipa, we are on same page.
Pili, nitoe shukrani kwa serikali na taasisi zake kwa kazi nzuri wanayofanya. Jumatano wiki iliyopita, maafisa kutoka idara kadhaa walitutembelea ofisini ili kuweza kufahamu uhalisia wa tunachokifanya. Kiukweli walifanya kazi yao kwa professionalism ya hali ya juu sana zaidi ya matarajio yetu. Tulizungumza mambo mengi sana ikiwemo kupokea ushauri for the betterment of our operations.
Zaidi ya yote nitoe 5 kwa wote walioregister kwaajili ya forex mentorship and coaching programme inayoendelea ofisini kwetu TMT. Mmekua nasi ktk kipindi kigumu hadi sasa na kwakweli tuna furaha sana kwamba wanafunzi wa kwanza walioanza mafunzo wamekamilisha jana, na hii ni 1 ya feedback niliyopokea.
Morning SJ, I would like to thank you for last and this week's thorough and well organized training. The material was very interesting and the discussions were truly inspiring. I particularly enjoyed the visual illustrations, which made the content easily understandable.
Uzuri ni kwamba baada ya training ya darasani sasa tunaingia kwenye real global financial markets business, nitawashika mkono through the whole journey for a life time, kila kitu kuanzia stocks, indices, foreign currencies, commodities, precious metals nk nk. That's the only way we can make history together.
Safari imeanza
Mwanzo wakati naitroduce hii fursa ya global financial markets watu wengi walinibeza kwa kejeli na matusi. Jibu langu lilikua rahisi sana I will keep quiet until results start talking on my behalf. Wanafunzi waliomaliza jana darasa, tulitrade nao live darasani jana ijumaa.
Hizi ni baadhi tu ya hizo results nilizokua nasema tusubiri ziongee.
Huyu ni mwanafunzi aliyefungua account ya $100 sawa na 224,000 lkn jana pekee kapata faida ya $23 sawa na 54,000. Let's be honest, biashara gani itakupa faida hiyo kwa ratio ya mtaji huo. Mfano mzuri ni mtu aliyenunua boxer, anabidi awe na mtaji wa 2.5 mil na kwa siku hesabu yake ni elfu 10 tu.
Huyu nae ni mwanafunzi aliyeanza kutrade jana. Imagine kwa mtaji wa 555,000 ndani ya siku 1 tayari kaingiza profit ya 123,000.
Huyu alifungua account ya GBP (Great Britain Pound), ambayo roughly thamani yake ni 200,000 lkn jana pekee yake kapata faida ya 70,000
Huyu nae jana pekee yake kalala na 160,000 kama faida.
huyu nae alianza jana tu lkn utaona ana faida ya laki 1 in one day. Mtu mwenye coaster anayefanya biashara ya daladala anakula faida ya 80,000 kwa siku na service kibao.
Sasa kuna watu walikua wanapiga kelele kwamba tunacharge elfu 65, and it's clear wanafunzi wengi jana pekee yake wamepata faida zaidi ya mara 2 ya pesa waliolipia kwaajili ya training. Knowledge is EXPENSIVE anywhere on earth, nimesoma UDSM, mpk namaliza mkopo wa heslb ulikua almost mil 15. But mtu akiajiriwa hakuna miracle itatokea aweze kurudisha hiyo pesa in 3 years. Lkn kwa knowledge ninayoitoa mtu anarudisha fees ndani ya siku
Week ijayo tunaanza na wanafunzi wengine 100 kuanzia J3 hadi Ijumaa. The process goes on and on hadi ifike muda kua asilimia 40 ya vijana wanaweza kutrade global financial markets na kutumia knowledge watakayoipata kubadili uchumi wao.
Offer niliyotangaza ya kuchangia 65,000 imeisha, na sasa charges will apply. From now onwards baada ya wanafunzi 300 wa mwanzo kila atakayekuja itabidi ilipie fees ya 130,000. With this money utapata vifuatavyo;-
●1 week training about global financial markets
●Live trading during classes kama tulivyofanya na wanafunzi waliopita
●lifetime coaching, tutatrade pamoja all the time when we trap a trading opportunity in the market. Tutadiscuss pa1 charts analysis kila fursa inapoappear. (This is the best offer you will ever receive in ur trading career).
●Ukipata tatizo lolote, the office is open to help you all the time. Come through and you'll thank me later.
Office ipo Oysterbay, Jangid Plaza floor no. 2 office number 211. Ali Hassan Mwinyi, mkabala na Protea Hotel ya Oysterbay, right away mbele ya mataa ya St. Peters. Kama mtu anatumia public transport basi kituo kinaitwa Mbuyuni. Namba ya ofisi ni 0754 311 568.