Am the One
JF-Expert Member
- Nov 1, 2018
- 901
- 885
Pole sana chief.
No no noo, sijawahi hata kushika hicho kipigia risasi.Kwa mafunzo yenu yale utampiga risasi ya kichwa
Kwani Boss, Hivyo vitu vyake unavyoviongelea ni vitu gani? ni mali au vinguo nguo tu??Should I Be the 1st kumtafuta juu ya hilo,au nimwache mpaka anicheki mwenyewe??
Hio Ya Kubomoa hawezi i'm sure with it!!Unajua wewe unadhani kuachana ni kukomoana, hapana siyo hivyo.
Mtafute haraka mzee, akipata mtu wa kumshauri wakabomoa nyumba wakaiba vitu itakuwa mbaya kwako.
Maana nyumba haina mtu kwa sasa, ni rahisi kubomoa tena kwa mtu aliyekuwa anakaa anaijua vizuri.
Hio Ya Kubomoa hawezi i'm sure with it!!
Piga simu Kwa yule polisi mwambie aongee na yule Malaya aje achukee kila kilicho chake then rudi Arusha.USIMTAFUTE TENAShida Sio Kupiga simu! nawaza hapa hata kama nimeamua nimrudishie vitu vyake maisha yaendelee should i be 1st kumcheki juu ya hili???
IndeedPiga moyo konde tafta mwingine. Be a man.