Mrejesho: Kilimo cha mpunga Bahi

Akipoteza hio pesa anajipa safari za kutosha(per diem inaingia) akitoka hapo anaenda kupiga mikwara huko Tanapa fasta tu mtaji umerudi.
Yes mitaji mikubwa pia ana wasiwasi hata akipoteza mil 100 kwasababu baada ya miezi mi5 kashaipata tena ila sie hatuwezi kuwekeza hata mil 5 kwenye kilimo maana ukipoteza kuipata tena ni issue.
 
Akipoteza hio pesa anajipa safari za kutosha(per diem inaingia) akitoka hapo anaenda kupiga mikwara huko Tanapa fasta tu mtaji umerudi.
Kabisa ndio maana wana courage ya kuingiza mtaji hata wa m200 maana anajua hata ikipotea atapata nyingine,hiyo ndio siri ya mafanikio ya hawa watu,mtaji mkubwa ukitiki return inakuwa kubwa nayo.
 
Jembe halimtupi mkulima , huu msemo umetamalaki sana hapa kwetu tz, lakini Mara kadhaa huwa unakuwaga na ukweli ndani yake.

Msimu wa 2018/19 nilijaribu kulima mpunga bahi hekari 5, japo nilikodi hekari 12 na kuzitifua zote kwa trekta, ila nikakumbana na ukame wakat napandikiza. Nilifanikiwa kuoandikiza mashamba matano tu, maji yakawa yameisha, hivyo nikawa Sina jinsi.

Si haba katika heka hizo tano nimeweza kurudisha mbegu, nimepata magunia 54, yenye ujazo wa debe saba Saba 7,7. Kiukweli nashukuru San mungu Kwan mwaka huu ulikuwa na changamoto sana. Wngine hawakuweza KUVUNA kabisa hata Lita moja.

Nimezidi kunifunza mengi katika kilimo ndugu zangu, wakati mm nimepata vigunia 54, Kuna mtu kapata migunia 400, na mwingine migunia 600, hivyo ukiwa kupanda uhakika wa kupiga pesa kupitia kilimo INAWEZEKANA.

Nimeona si haba niwaletee mrejesho wananzengo kwani Kuna baadhi ya wanajf walitaka mrejesho Mara baada ya kutoka shambani.

Picha hizi hapa.
View attachment 1148431View attachment 1148432View attachment 1148433View attachment 1148434View attachment 1148435View attachment 1148436View attachment 1148437View attachment 1148438View attachment 1148440View attachment 1148444
H
Pole.Sehemu nzuri za kulima mpunga hapa Tanzania ni bonde la usangu,kilombole,kyela na rufiji changamoto ni mafuriko ya maji na sio kukosa mvua.Tuitumie Tanzania vizuri tuache kilimo cha kubahatisha vinginevyo tuchimbe visima kwenye mashamba yetu.
 
Jembe halimtupi mkulima , huu msemo umetamalaki sana hapa kwetu tz, lakini Mara kadhaa huwa unakuwaga na ukweli ndani yake.

Msimu wa 2018/19 nilijaribu kulima mpunga bahi hekari 5, japo nilikodi hekari 12 na kuzitifua zote kwa trekta, ila nikakumbana na ukame wakat napandikiza. Nilifanikiwa kuoandikiza mashamba matano tu, maji yakawa yameisha, hivyo nikawa Sina jinsi.

Si haba katika heka hizo tano nimeweza kurudisha mbegu, nimepata magunia 54, yenye ujazo wa debe saba Saba 7,7. Kiukweli nashukuru San mungu Kwan mwaka huu ulikuwa na changamoto sana. Wngine hawakuweza KUVUNA kabisa hata Lita moja.

Nimezidi kunifunza mengi katika kilimo ndugu zangu, wakati mm nimepata vigunia 54, Kuna mtu kapata migunia 400, na mwingine migunia 600, hivyo ukiwa kupanda uhakika wa kupiga pesa kupitia kilimo INAWEZEKANA.

Nimeona si haba niwaletee mrejesho wananzengo kwani Kuna baadhi ya wanajf walitaka mrejesho Mara baada ya kutoka shambani.

Picha hizi hapa.
View attachment 1148431View attachment 1148432View attachment 1148433View attachment 1148434View attachment 1148435View attachment 1148436View attachment 1148437View attachment 1148438View attachment 1148440View attachment 1148444
Hongera mkuu, shida ya kilimo hiki sehemu kubwa hapa nchini ni kutegemea mvua, kwa eneo la ukubwa huo ingekuwa kwenye skimu ya umwagiliaji ukapanda kwa nafasi shauriwa na ukaweka mbolea ya kukuzia ulistahili kupata wastani wa gunia 45-50 kwa ekari moja. Hivyo kwa ekari zako 5 ulizopanda ungevuna wastani wa gunia 225.
 
Mkuu je mashamba wanakodishaje huko na gharama za kulima zikoje na uwa inastawi baada ya muda gani?
Mashamba yapo tu kuna ifadhi serikali ilitoa kwa ajili ya kilimo so vizur ukampata mwenyeji anakutafutia shamba..
Miezi minne ata tano
 
Mkulima akijipanga na kufikiria nje ya box, unatoboa, Ila tatizo wakulima wengi tumezoea kuuzia shambani na sio kufikisha sokoni Kwa mlaji wa mwisho, middleman wanafaidi matunda ya Mkulima kwakweli.
Ila muda mwingine ni ukosefu wa mitaji, mtu analima kwa kukopa na anatakiwa kulipa mazao atakayovuna tena Kwa bei rahisi Sana.
Hongera, lakini huwa naona wafanyabiashara wa mazao ndo wanatajirika sijawahi kuona mkulima akitajirika.
 
Back
Top Bottom