mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Akipoteza hio pesa anajipa safari za kutosha(per diem inaingia) akitoka hapo anaenda kupiga mikwara huko Tanapa fasta tu mtaji umerudi.
Yes mitaji mikubwa pia ana wasiwasi hata akipoteza mil 100 kwasababu baada ya miezi mi5 kashaipata tena ila sie hatuwezi kuwekeza hata mil 5 kwenye kilimo maana ukipoteza kuipata tena ni issue.