Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanangu una-support huu ujinga?? Hebu uliza wazee hapo zamani walikuwa wanaishi vipi ndio utajua kwanini tuna mmomonyoko mkubwa wa maadili.Nani asiyejua maradhi swala ni umeamua kuvujisha vitu visivyokuhusu,unajisikia raha sana ndoa yao kuvunjika? Unafaidika na nini haswa
Kwahiyo ni changamoto gani ambazo zingemfanya mama nasma kumsaliti baba nasma???Ndoa zina changamoto nyingi sana,wanayopitia wanandoa wanayajua wao nasikitishwa sana kuona watu kujifanya wakamilifu wakati wana mapungufu yao mengi sana
Ameshatenda wema wake.Siku mke na mume wakirudiana sijui unaiweka wapi sura yako hakiyanani!
Wapendanao wakigombana shika njia yako
He is not!you can't be serious then.
mkuu mimi nakuunga mkono kumsaidia baba nasma ili asiendelee kugongewaWewe utakuwa ni msaliti katika ndoa
yakikukuta siku moja utaacha kurespond pumbaPoa... nenda ukaolewe wewe sasa baada ya mama nasma kupigwa chini.
Yaani unasimulia story kama vile huyo mama nasma alikuibia mume
Duuuyumimi napiga piga ovyo lakini wake za watu sigusi kabisa
Una roho mbaya sana wewe.
Kwani huyo baba nasma ni muaminifu sana?? Ungeacha akajua mwenyewe kwa njia zake...
Naskitishwa sana kuona watu ninaowaamini na kuwaheshimu humu jukwaani waki-like comment za KIJINGA zinazomshambulia mtoa mada.
Yaani watu walitaka mtoa mada anyamaze kimya tu juu ya usaliti na unyama anaofanyiwa mtu mwengine?? Mna tofauti gani na wale waliokwenda kwenye ajali ya lori wakaanza kuchota mafuta na kuacha kumuokoa dereva na abiria?? Shame on you!
Mtume (s.a.w) ametuelekeza kwamba "utakapouona uovu wowote basi uondoshe kwa mkono wako, kama ukishindwa basi uondoshe kwa mdomo wako (uukemee) na ukishindwa basi uchukie ndani ya nafsi yako, na huko kuchukia ni udhaifu wa imani"
Mtoa mada ameuona uovu na kuamua kuuondoa, ajabu iliyoje GREAT THINKERS wanamshambulia. Halafu cha kuskitisha, wale ninaowaona ma-genius humu wamekaa wana-support hali hii??
I need to learn more and more really.
Really???Umepata faida gani???? Wabongo roho mbaya,,,, mtu anateseka kwa jambo hata lisilomuhusu.... Haya mpeleke dada yako akaolewe na huyo bwana mtoa talaka
So, he should have left his fellow men in a such situation?? This is not you KaruceeNa bado pamoja na yoooote Mama Nasma bado hakutaki.
Wapumbavu sana hawayakikukuta siku moja utaacha kurespond pumba