Mrejesho: Haya ni matatizo mbalimbali tuliyoyagundua katika baadhi ya nyumba zenye tatizo la bili kubwa ya umeme

Umesahau nyumba zenye jinsia ya kike wengi. Wananyosha sana, wanaoga maji ya Moto sana, wanapenda kuweka viporo kwenye friji na kuvipasha kwenye microwave.
Mkuu acha visirani. Hapa ghetto nikakoishi wadada wakiwepo wikiend umeme unaotumika kwa siku ni ule unaotumika kwa siku tatu wasiposhinda.
 
Mkuu mimi majuzi nimenunua pasi iliyoandikwa power:300W. Nimefahamishwa kwamba hiyo 300W inamanisha pasi itatumia 0.3unit kwa saa moja. Sasa naomba unisaidie kujibu maswali yafuatayo kwa mpangilio wake:

1. Kama nikiwasha hiyo pasi na kunyoosha nguo mbili ndani ya dakika kumi na kuzima pasi nitakuwa nimetumia unit ngapi?

2. Kama nitawasha hiyo pasi na kunyoosha nguo nyingi kwa saa nzima mfululizo bila kuzima pasi hata mara moja nitakuwa nimetumia unit ngapi?

3. Kama nitawasha hiyo pasi na kunyoosha nguo lakini nikawa nazima pasi na kuiwasha tena kila baada ya dakika kumi ambapo ndani ya saa moja nitakuwa nimeiwasha mara sita baada ya hiyo saa moja nitajikuta nimetumia unit ngapi?
 
Mkuu mimi majuzi nimenunua pasi iliyoandikwa power:300W. Nimefahamishwa kwamba hiyo 300W inamanisha pasi itatumia 0.3unit kwa saa moja. Sasa naomba unisaidie kujibu maswali yafuatayo kwa mpandilio wake:

1. Kama nikiwasha hiyo pasi na kunyoosha nguo mbili ndani ya dakika kumi na kuzima pasi nitakuwa nimetumia unit ngapi?

2. Kama nitawasha hiyo pasi na kunyoosha nguo nyingi kwa saa nzima mfululizo bila kuzima pasi hata mara moja nitakuwa nimetumia unit ngapi?

3. Kama nitawasha hiyo pasi na kunyoosha nguo lakini nikawa nazima pasi na kuiwasha tena kila baada ya dakika kumi ambapo ndani ya saa moja nitakuwa nimeiwasha mara sita baada ya hiyo saa moja nitajikuta nimetumia unit ngapi?

Unit 1 sawa na watt 1000 kwa saa.

Pia pasi haiwaki fulltime ina waka na kujizina kulingaba na kiwango ulicho set kwenye pasi yako hivyo kwa hizo dk 10 sio kwamba pasi itakua on muda wote inawaka za kujizima ili moto usizidi

Kwa uelewa wangu

Qn
 
Mkuu mimi majuzi nimenunua pasi iliyoandikwa power:300W. Nimefahamishwa kwamba hiyo 300W inamanisha pasi itatumia 0.3unit kwa saa moja. Sasa naomba unisaidie kujibu maswali yafuatayo kwa mpandilio wake:

1. Kama nikiwasha hiyo pasi na kunyoosha nguo mbili ndani ya dakika kumi na kuzima pasi nitakuwa nimetumia unit ngapi?

2. Kama nitawasha hiyo pasi na kunyoosha nguo nyingi kwa saa nzima mfululizo bila kuzima pasi hata mara moja nitakuwa nimetumia unit ngapi?

3. Kama nitawasha hiyo pasi na kunyoosha nguo lakini nikawa nazima pasi na kuiwasha tena kila baada ya dakika kumi ambapo ndani ya saa moja nitakuwa nimeiwasha mara sita baada ya hiyo saa moja nitajikuta nimetumia unit ngapi?

1.Dakika kumi na kuzima pasi nitakuwa
nimetumia unit ngapi?

0.005 unit

2. saa
nzima mfululizo bila kuzima pasi unit
ngapi?

0.3 unit

3.

Elezea unaizima kwa dakika ngapi na unaiwasha kwa dakika ngapi ndani ya hiyo saa moja
 
1.Dakika kumi na kuzima pasi nitakuwa
nimetumia unit ngapi?

0.005 unit

2. saa
nzima mfululizo bila kuzima pasi unit
ngapi?

0.3 unit

3.

Elezea unaizima kwa dakika ngapi na unaiwasha kwa dakika ngapi ndani ya hiyo saa moja
Ahsante sana. Hapo swali la 1 nadhani ulimaanisha 0.05 (yaani 0.3 unit/ dakika 60 x dakika 10) badala ya 0.005. Na kwa bei ya Tsh. 356 kwa unit moja ina maana nitatumia Tsh. 18 tu kunyoosha nguo zote mbili kwa dakika 10!

Swali namba 3. Tuchukulie mfano nawasha dakika 7 na kuizima tena kwa dakika 3 ili ndani ya saa moja niwe nimewasha mara 6 kwa dakika saba saba.
Kwa mujibu wa jibu lako kwenye swali la kwanza kwenye hili swali la tatu naona itakuwa ni jumla ya 0.21unit (yaani 0.3/60 minutes x 7 minutes x 6 times) ambapo gharama zake zitakuwa ni Tshs. 75 tu (yaani 0.21 x 356). Niko sahihi hapo? Maana naona hiyo gharama inakuwa ndogo sana kwa kuzingatia madai ya kwamba pasi ula sana umeme.

Niliuliza hayo maswali kwa kuyatenganisha kwa sababu kuna mtu mwingine katika mazungumzo alidai kwamba kama pasi imeandikwa hivyo (300W) basi inamaanisha kila utakapokuwa unaiwasha bila kujali kama imewaka dakika 5, 10, 20 au 45 itakuwa imekula 0.3 unit mradi tu huo muda itakaowaka mfululizo isizidi saa moja.

Kwa hayo maelezo yake alimaanisha kila unapowasha pasi hiyo hata kama ni kwa dakika tano tu itakuwa imekula 0.3unit na kama utaiwasha tena kwa dakika let's 10 itakula tena 0.3unit zingine kiasi kwamba kwa kuzima na kuwasha mara nyingi ndani ya saa moja mfano mara kumi utajikutà umetumia unit nyingi yaani 0.3unit x 10= 3 units kwa saa.
 
Mkuu mimi majuzi nimenunua pasi iliyoandikwa power:300W. Nimefahamishwa kwamba hiyo 300W inamanisha pasi itatumia 0.3unit kwa saa moja. Sasa naomba unisaidie kujibu maswali yafuatayo kwa mpangilio wake:

1. Kama nikiwasha hiyo pasi na kunyoosha nguo mbili ndani ya dakika kumi na kuzima pasi nitakuwa nimetumia unit ngapi?

2. Kama nitawasha hiyo pasi na kunyoosha nguo nyingi kwa saa nzima mfululizo bila kuzima pasi hata mara moja nitakuwa nimetumia unit ngapi?

3. Kama nitawasha hiyo pasi na kunyoosha nguo lakini nikawa nazima pasi na kuiwasha tena kila baada ya dakika kumi ambapo ndani ya saa moja nitakuwa nimeiwasha mara sita baada ya hiyo saa moja nitajikuta nimetumia unit ngapi?

Pamoja
 
Umesahau nyumba zenye jinsia ya kike wengi. Wananyosha sana, wanaoga maji ya Moto sana, wanapenda kuweka viporo kwenye friji na kuvipasha kwenye microwave.
.....afu wakiota vitambi mara wanaanza "oh nini" sijui huko!
shubamit!!
 
Back
Top Bottom