Mrejesho: Biashara ya madini aina ya dhahabu

Mm ninavyo fikiri hiyo ya million 25 ni ya migodi mikubwa ambayo inatuma usumaku mbali na uso wa dunia lakini Kama ni jirani tu hiyo ya laki tatu inafaa
Mtaibiwa mchana kweupe!
Fanyeni utafiti nje ya box.

Tafuta tu hata shuhuda huru (sio zilizopostiwa na kampuni inayouza hizo detector) tafuta mdhibiti ubora (kama vile tbs kilipo kiwanda) aliyeidhinisha kifaa husika.

Mtaibiwa na wahuni wa dubai.
 
Imani yako inaenda kukuliza soon.
Hayo ni makopokopo tu yameunganishwa na vi circuit vya electronics mfano wa calculator.

Kutoka kwenye 9v vina transmit wave weak ku detect hata pete ya dhahabu mkononi achilia mbali chini ya ardhi kunakohitaji strong waves kutoka kwenye high current device.

Mungu akusaidie uelewe nilichokwambia.
Ahsante mkuu ila ukweli mimi nimeshaujuwa uko wapi so cha msingi wacha nitie nia one day yes coz nimeona kwa macho yangu na kujifunza kwa mda mrefu sana katika hili
 
Mtaibiwa mchana kweupe!
Fanyeni utafiti nje ya box.

Tafuta tu hata shuhuda huru (sio zilizopostiwa na kampuni inayouza hizo detector) tafuta mdhibiti ubora (kama vile tbs kilipo kiwanda) aliyeidhinisha kifaa husika.

Mtaibiwa na wahuni wa dubai.
Cha ajabu ni kwamba dubai wanauza tu ila mtengenezaji ni Mmarekani na nilishaagiza ndogo zake shihuda mzuri ni Member Mwl RCT ndio aliyoiagiza na ilikuwa na uwezo wa kudetect 1m lakini mpaka sasa mwenye nayo amemiliki vingi kupitia hilo kopo unalolisema wewe sasa cjajua TBS wa Tanzania na Marekani wepi waongo
 
Ahsante mkuu ila ukweli mimi nimeshaujuwa uko wapi so cha msingi wacha nitie nia one day yes coz nimeona kwa macho yangu na kujifunza kwa mda mrefu sana katika hili
Ningekua na muda ningekupa mpaka walalamikaji wanaozidai kampuni zilizowaingiza mkenge including GER DETECTOR.

Anyway nikwambie tu "natural mystic flows through the air" (if you listen carefully enough you will hear)

Nikwambie kwa lugha nyingine "UKWELI HAUPAMBWI"
 
Cha ajabu ni kwamba dubai wanauza tu ila mtengenezaji ni Mmarekani na nilishaagiza ndogo zake shihuda mzuri ni Member Mwl RCT ndio aliyoiagiza na ilikuwa na uwezo wa kudetect 1m lakini mpaka sasa mwenye nayo amemiliki vingi kupitia hilo kopo unalolisema wewe sasa cjajua TBS wa Tanzania na Marekani wepi waongo
Nazoziongelea ni LONG RANGE DETECTOR.

Kama unachonukuu ni minelab and the like metal detector you are Wright.
 
Ningekua na muda ningekupa mpaka walalamikaji wanaozidai kampuni zilizowaingiza mkenge including GER DETECTOR.

Anyway nikwambie tu "natural mystic flows through the air" (if you listen carefully enough you will hear)

Nikwambie kwa lugha nyingine "UKWELI HAUPAMBWI"
Sawa mkuu soon nitakupa mrejesho maana tayari ilishaagizwa
 
Mimi binafsi naamini kabisa katka maisha hasa utafutaji wa rizki kuna risks lakini risks zengine wakuu zinaepukika ni swala tu la kutumia akili Sana kuliko mihemko...

Don't let your emotional control your thinking...
 
Nimesoma nimeelewa sasa nasema hivi hakuna chochote kitakachonizuia nisifanye biashara ya madini iwe kwa kununua mawe, kununua dhahabu au vyovyote ilimradi ni ishu ya dhahabu naenda kufanya na hiyo mitaji mnayoisema ya 5m au 10m mi sina na ntatoboa tu na laki 4 zangu.
Nitarudi kutoa shuhuda hapa hapa!
 
Kun
Nanunua kutoka kwa wachimbaji dhahabu ikiwa haijayeyushwa ila imechomwa moto tu kisha naenda kuuza kwa dealer sokoni ambako kuna majiko ya kuyeyusha
Kunaulazima wa kuuza kwa dealers hao wenye majiko. Je ukitaka uza kwengine utaratibu upoje?
 
Macho mdiliko na wangari naomba kuwajibu kwa namna ambavyo mmetafsiri ninyi na nilitakiwa nisiwajibu chochote kwa sababu ya ufinyu wa mawazo yenu ila kwa sababu leo ni jumapili nimepoz ngoja nipoteze mda kuwajibu hili.

Kwanza kabisa mdau aliweka uzi kutoa ushuhuda wa kile anachokifanya naweza kusema uzi huu haukuwa na lengo la kumpiga mtu kwa sababu tayari aliwahi omba kupata utaratibu namna ya yeye kwenda huko kufanya biashara hii,

Biashara hii kwa wale walioko maeneo ya migodin wataelewa nini naongea na hasa kwa upande wa dhahabu ni biashara ambayo ukiwa makini na ukabahatika kulenga eneo lina dhahabu unaweza amka kwenda chimbo huna hata mia na ukarudi una mamilioni hili sio hadithi na tumeshudia wengi, lakini biashara hii ukiingia kichwa kichwa hata kama ungekuwa unamiliki ndege sita unaweza poteza zote na ukabaki masikini.

Kwa maelezo ya mleta uzi kuwa yeye ananunua tayari ikiwa imechomwa na kuiuza kwa makota na wao wanapeleka sokoni hili lipo wazi kuna faida tena ya wazi bila kificho ila ni mbaya kununua ile haijachomwa hapo unaweza nunua udongo.

Hivyo kwa mtaji wake wa milioni tano na kusema kwa mwezi kaingiza faida ya milioni moja mbona ni ndogo sana hiyo kwa biashara ya dhahabu tena hapo anaenda taratibu na kwa umakini mkubwa asije kupigwa.

Kuhusu mimi ndama dume kuomba mtu mwenye machine na sio pesa hili kwa akili yenu fupi mkadhani mtu atapigiwa wapi labda kwa sababu sisi hatuendi kuchimba sisi tunaenda kuwapimia watu maeneo na kulipwa chetu,
Pili unaweza kujiuliza kuwa kma machine hii ingekuwa na faida kiasi hicho watu wengi si wangekuwa nayo? Naomba nikujibu hivi kuwa asilimia kubwa ya wachimbaji hawana shule hapa nazungumzia wachimbaji wadogo na hivi vifaa kwao hawana utaalamu navyo hivyo wanachimba kwa kubuni na kudhani lakini hawana uhakika na kile kilichopo so hapa ndio sehemu geologist hupiga pesa ukipima eneo na mchimbaji akaja kuchimba kapata kitu basi juwa wote watahamia kwako kwa gharama yeyote ili ukawapimie maeneo.

Lakini kama hujui mazingira ya migodin yakoje na hukawahi kufika na kuona na haiba ya watu au wachimbaji wadogo wanahitaji nini basi unaweza dhani ni uongo ila ukweli ni kwamba watu wametoka na kunawiri zaidi nyie endeeleeni kucheza forex tu .
Mkuu, nitakutafuta soon..
 
Back
Top Bottom