Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 11,321
- 17,813
You are clouded with emotions, you are not in a sound state to make a rational judgement.Ma kabwela wa vifo (merchants of death) vifo vyote si kitu isipokuwa cha kinachowahusu.
Kwani mna mioyo ya kibinadamu nyie?
Hukuona habari ya Mh. Magufuli kufiwa na ndugu yake kipindi kile cha kilele cha COVID-19 nchini? Bado Mh. Magufuli hakufungia watu ndani sababu kifo kile kilikuwa hakimhusu?
Aliona Uhuru Kenyatta akamtumia salam za pole na wewe upo hapa nchini hukuona unakuja kulialia!
Death is inevitable to every living body, the only difference is the day we die.