- Thread starter
- #81
Hii comenti nimeipenda sana jamaa upo sehemu uagize kitichair nikuje jibu konki
Huyo konki master aliyekukuna vilivyo ndiye huyo huyo mwenye hii comment #411:
kumhusu kigogo wa Twitter kwenye uzi huu?
Serikali: Siku za Kigogo wa Twitter zinahesabika na hana siku nyingi
Au ndiyo yale ya waswahili wa Pemba mwajuana kwa vilemba?
Vipi yule mhanga atarejea salama safari hii? Au kuna mpya abakie huko huko?
Misahafu imenena kabla ya mwisho mbona mtayasema wenyewe?