Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,625
Tazama CIF amount ya kwenye Profoma halafu compare na ile ya tra kwenye calculator yao. TRA huwa wanabadilika ,kama CIF ya gari yako kwenye documents za gari ni kubwa kupita ile waliyolist katika calculator yao then wanachukua ile ya kwenye documents wanaacha ile waliyokadiria wao.Mkuu yako kali sana dah...Sbt zao mechokachoka sana upo sawa mkuu..
Nimeagiza Sbt toka 9/4/21 gar imefika 13/7/21 af wamekuja kuniambia 20/7/21 af wananiambia nilipie storage sh 25000 per day kuanzia 13/7 mpk nitakapo toa kwa hili ntakwenda petrol ofisin kwao kitakachotoa kitakua mjadala humu...
Kama ya kwenye documents ni ndogo sana kuliko waliyokadiria kwenye calculator yao then wanachukua ya kwao sababu ni kubwa kuliko hiyo ya kwenye documents ili wapate zaidi.
Sasa watu wengi hii ikiwakuta ndio unakuta analisusa na gari lenyewe hapo hapo bandari lipigwe mnada yeye analia na MUNGU tu awalaani TRA.