Mrejesho baada ya kuagiza Gari toka Japan

Mkuu yako kali sana dah...Sbt zao mechokachoka sana upo sawa mkuu..

Nimeagiza Sbt toka 9/4/21 gar imefika 13/7/21 af wamekuja kuniambia 20/7/21 af wananiambia nilipie storage sh 25000 per day kuanzia 13/7 mpk nitakapo toa kwa hili ntakwenda petrol ofisin kwao kitakachotoa kitakua mjadala humu...
Tazama CIF amount ya kwenye Profoma halafu compare na ile ya tra kwenye calculator yao. TRA huwa wanabadilika ,kama CIF ya gari yako kwenye documents za gari ni kubwa kupita ile waliyolist katika calculator yao then wanachukua ile ya kwenye documents wanaacha ile waliyokadiria wao.

Kama ya kwenye documents ni ndogo sana kuliko waliyokadiria kwenye calculator yao then wanachukua ya kwao sababu ni kubwa kuliko hiyo ya kwenye documents ili wapate zaidi.

Sasa watu wengi hii ikiwakuta ndio unakuta analisusa na gari lenyewe hapo hapo bandari lipigwe mnada yeye analia na MUNGU tu awalaani TRA.
 
Tazama CIF amount ya kwenye Profoma halafu compare na ile ya tra kwenye calculator yao. TRA huwa wanabadilika ,kama CIF ya gari yako kwenye documents za gari ni kubwa kupita ile waliyolist katika calculator yao then wanachukua ile ya kwenye documents wanaacha ile waliyokadiria wao....
Yan mi ya kwangu mkuu ni kwamba ya TRA kwa mwezi huu imepungua kuliko ilivokua mwanzo sasa basi uyu wakala wangu badala ya kusema wameshusha yeye ananambia wamepandisha.

Wewe apo ata sasa ivi ingia TRA calculator ist ya 2006 ni sh ngapi ? Itakupa ni 6.1m wakati mwanzo ilikua 6.6m sijui inanielewa?...

Kwa kifupi jamaa kaingia cha kike kwangu kmmk
 
Yan mi ya kwangu mkuu ni kwamba ya TRA kwa mwezi huu imepungua kuliko ilivokua mwanzo sasa basi uyu wakala wangu badala ya kusema wameshusha yeye ananambia wamepandisha...
Umeambiwa angalia CIF ya kwenye Invoice yako acha kukariri..

Kama ilikuwa bei juu kulinganisha na ya kwenye calculator ya TRA lazima bei itaongezeka..
 
Usisahau kuleta mrejesho.
Mkuu yako kali sana dah...Sbt zao mechokachoka sana upo sawa mkuu.

Nimeagiza Sbt toka 9/4/21 gar imefika 13/7/21 af wamekuja kuniambia 20/7/21 af wananiambia nilipie storage sh 25000 per day kuanzia 13/7 mpk nitakapo toa kwa hili ntakwenda petrol ofisin kwao kitakachotoa kitakua mjadala humu.

Profoma mpka kufikisha gar apa ni 12,500,000 af wananiambia et ushuru umepanda niongeze la lak Saba hiv wakati nikiangalia TRA calculator inanionyesha ushuru umeshuka sana pind naagiza ulikua 6.6m leo ushuru ni 6.1m kwa ist ya 2006 af mjomba ananiambia ushuru umepanda sijui aniona mi wa maporini mzee leo sikukuu kesho asubuh sana ntakua ofisin kwao na kidumu changu cha lita 5 kitakachotoa hakitakua Siri kama hakutakua na maridhiano
 
Usisahau kuleta mrejesho.
Kaka asubuhi hii..
Nimemkuta mshikaji na nafikiri alivoniona tu akajua sikuja vema ivo alikua mpole sana..

mosi.. alisema ushuru umepanda ni uongo akasema walikosea TRA kumwambia
Pili sasa akaanza sound pale port clearance imepanda...
TBS imepanda..
-usajir wa kupata no umepanda
-Yan ivo vikorombezo vyote vya kwenye profoma invoice vimepata ikabidi nitoe kwanza embassy cigarette nivute...nipomaliza nikamwambia bro unajua mpk nanunua hii gar nimedunduliza toka miaka mitano nyuma nipo chuo so nakupa pesa tuliongea awali na ninakata ya ushuru iliyopungua TRA nikamuhesabia hapo hapo nikampa mpunga nikamuuliza saa ngapi niijie gar akasema jion ntakupigia.. Nikasepa ntareta jion mresho na ndinga
😅😅
 
walishangaa discount kanipa kubwa sana hata wao huwa hawapewi so ilikua baht tu.
Walikujaza upepo ty ili uendelee kuw mteja wao... Kiufupi autocom hiyo dsicount ndio wanayotoaga, maana ukiji register tu wanakuoa discount ya dola 100, na baada ya hapo kuna discount ya dola 300 hiyo ni uhakika ndio inakuja hiyo 400! Baada ya hapo utaendelea kula disc za dola 300! Jamaa wapo vizuri gari zao nzuri na bei ni cheap sana! Mm ninayotumia pia nilichukua kwao! Kuagiza ni uoga tu wa watu.. Hongera sana mkuu
 
Kaka asubuhi hii..
Nimemkuta mshikaji na nafikiri alivoniona tu akajua sikuja vema ivo alikua mpole sana..

mosi.. alisema ushuru umepanda ni uongo akasema walikosea TRA kumwambia
Pili sasa akaanza sound pale port clearance imepanda...
TBS imepanda..
-usajir wa kupata no umepanda
-Yan ivo vikorombezo vyote vya kwenye profoma invoice vimepata ikabidi nitoe kwanza embassy cigarette nivute...nipomaliza nikamwambia bro unajua mpk nanunua hii gar nimedunduliza toka miaka mitano nyuma nipo chuo so nakupa pesa tuliongea awali na ninakata ya ushuru iliyopungua TRA nikamuhesabia hapo hapo nikampa mpunga nikamuuliza saa ngapi niijie gar akasema jion ntakupigia.. Nikasepa ntareta jion mresho na ndinga
😅😅
Safi sana.
 
Walikujaza upepo ty ili uendelee kuw mteja wao... Kiufupi autocom hiyo dsicount ndio wanayotoaga, maana ukiji register tu wanakuoa discount ya dola 100, na baada ya hapo kuna discount ya dola 300 hiyo ni uhakika ndio inakuja hiyo 400! Baada ya hapo utaendelea kula disc za dola 300! Jamaa wapo vizuri gari zao nzuri na bei ni cheap sana! Mm ninayotumia pia nilichukua kwao! Kuagiza ni uoga tu wa watu.. Hongera sana mkuu
Mimi Nimetembelea web yao jana nikaona bei yao iko juu kidogo. Magari mengine hawaandiki bei mpaka uulize. Mbaya zaidi wana magari machache sana. Ila magari yao mengi yako kwenye hali nzuri.
 
Back
Top Bottom