Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 31,981
- 64,006
Najua ni hatari kama mfano mtu akajua akaunti yako, expire date na cvv. Hapo anakupiga mchana kweupe na jua linawaka. Receipts zake hazina expire date na cvvYeah, nigeria kuna kipindi walizifungia ATM mkuu kwasababu ya huu wizi.
Baadhi ya Benki huwa wanaficha namba za katikati kwa kuweka ***** then wanamalizia mwisho.