Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,221
- 78,941
Kumbe Geita ni maskini kiasi hiki? Sasa why tunapinga mambo mazuri kupelekwa Chato?Ripoti ya serikali inatuonyesha 90% ya watu wa killinanjaro wanaishi maisha bora
Hii ni ripoti ya kitaalamu ya nbs
Tembea Tanzania nzima,Hakuna vijiji unaweza fananisha na UCHAGANI
View attachment 1676057
Ila umaskini wa Geita ni wa kujitakia kabisa, dhahabu kibao ...nadhani ni ushamba wa watu wa huko.