Mrejesho: I am so happy kumpata mtu ambae tuna-match

Umri wako please?? Je pia mko sexually compatible?? Mmeshajaribu na huku ndani ya wiki??
yes...tunaendana kwa kila kitu!hakuna kitu chema kama kumpata mtu mnaeendana na unavotaka awe.
mpnz wangu ni mzuri,msomi,mrefu kama mimi,mpole na muelewa.ni mwanaume msafi sijawahi ona..kuanzia mazingira yake anapoishi mpaka yeye..anajali kwa alichonacho..ni mtu mwenye malengo na hamu ya kuja kufanikiwa sana.yuko matured na kijana anaeenda na wakati..anapenda kuniona nko happy mda wote..yuko proud nami..above all he is sooo romantic..yani ikitokea nipo nae nasahau shida zote za dunia..hata njaa sisikii.
iam too kind..sio muongeaji sana na kukasirika ovyo...pia utulivu ndo asili yangu.hizo ndo tabia zangu ambazo siwez zuga thats why kaamua kunichagua.
trust mi hakuna kitu kinachowafanya wawili wapendane kama kuendana kitabia..tabia first mengine yatafuatia.
wewe hupend waongeaji sana thn binti anaongea ka vuvuzela..mtadumu?
 
yes...tunaendana kwa kila kitu!hakuna kitu chema kama kumpata mtu mnaeendana na unavotaka awe.
mpnz wangu ni mzuri,msomi,mrefu kama mimi,mpole na muelewa.ni mwanaume msafi sijawahi ona..kuanzia mazingira yake anapoishi mpaka yeye..anajali kwa alichonacho..ni mtu mwenye malengo na hamu ya kuja kufanikiwa sana.yuko matured na kijana anaeenda na wakati..anapenda kuniona nko happy mda wote..yuko proud nami..above all he is sooo romantic..yani ikitokea nipo nae nasahau shida zote za dunia..hata njaa sisikii.
iam too kind..sio muongeaji sana na kukasirika ovyo...pia utulivu ndo asili yangu.hizo ndo tabia zangu ambazo siwez zuga thats why kaamua kunichagua.
trust mi hakuna kitu kinachowafanya wawili wapendane kama kuendana kitabia..tabia first mengine yatafuatia.
wewe hupend waongeaji sana thn binti anaongea ka vuvuzela..mtadumu?
Infatuated puppy love, that's it if you ask me!
 
yes...tunaendana kwa kila kitu!hakuna kitu chema kama kumpata mtu mnaeendana na unavotaka awe.
mpnz wangu ni mzuri,msomi,mrefu kama mimi,mpole na muelewa.ni mwanaume msafi sijawahi ona..kuanzia mazingira yake anapoishi mpaka yeye..anajali kwa alichonacho..ni mtu mwenye malengo na hamu ya kuja kufanikiwa sana.yuko matured na kijana anaeenda na wakati..anapenda kuniona nko happy mda wote..yuko proud nami..above all he is sooo romantic..yani ikitokea nipo nae nasahau shida zote za dunia..hata njaa sisikii.
iam too kind..sio muongeaji sana na kukasirika ovyo...pia utulivu ndo asili yangu.hizo ndo tabia zangu ambazo siwez zuga thats why kaamua kunichagua.
trust mi hakuna kitu kinachowafanya wawili wapendane kama kuendana kitabia..tabia first mengine yatafuatia.
wewe hupend waongeaji sana thn binti anaongea ka vuvuzela..mtadumu?
Utoto raha sana!
 
Mapenzi ya mwanzoni matamu yana tia shamaham apo baada ya siku kadhaaa kupita apo mmhhh
 
yes...tunaendana kwa kila kitu!hakuna kitu chema kama kumpata mtu mnaeendana na unavotaka awe.
mpnz wangu ni mzuri,msomi,mrefu kama mimi,mpole na muelewa.ni mwanaume msafi sijawahi ona..kuanzia mazingira yake anapoishi mpaka yeye..anajali kwa alichonacho..ni mtu mwenye malengo na hamu ya kuja kufanikiwa sana.yuko matured na kijana anaeenda na wakati..anapenda kuniona nko happy mda wote..yuko proud nami..above all he is sooo romantic..yani ikitokea nipo nae nasahau shida zote za dunia..hata njaa sisikii.
iam too kind..sio muongeaji sana na kukasirika ovyo...pia utulivu ndo asili yangu.hizo ndo tabia zangu ambazo siwez zuga thats why kaamua kunichagua.
trust mi hakuna kitu kinachowafanya wawili wapendane kama kuendana kitabia..tabia first mengine yatafuatia.
wewe hupend waongeaji sana thn binti anaongea ka vuvuzela..mtadumu?
Huyo mume wa mtu
 
Back
Top Bottom