Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,628
yes...tunaendana kwa kila kitu!hakuna kitu chema kama kumpata mtu mnaeendana na unavotaka awe.Umri wako please?? Je pia mko sexually compatible?? Mmeshajaribu na huku ndani ya wiki??
mpnz wangu ni mzuri,msomi,mrefu kama mimi,mpole na muelewa.ni mwanaume msafi sijawahi ona..kuanzia mazingira yake anapoishi mpaka yeye..anajali kwa alichonacho..ni mtu mwenye malengo na hamu ya kuja kufanikiwa sana.yuko matured na kijana anaeenda na wakati..anapenda kuniona nko happy mda wote..yuko proud nami..above all he is sooo romantic..yani ikitokea nipo nae nasahau shida zote za dunia..hata njaa sisikii.
iam too kind..sio muongeaji sana na kukasirika ovyo...pia utulivu ndo asili yangu.hizo ndo tabia zangu ambazo siwez zuga thats why kaamua kunichagua.
trust mi hakuna kitu kinachowafanya wawili wapendane kama kuendana kitabia..tabia first mengine yatafuatia.
wewe hupend waongeaji sana thn binti anaongea ka vuvuzela..mtadumu?