Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 20,609
- 71,177
Nimefanyaje?๐๐๐๐๐ ila wewe mdada!
Nimefanyaje?๐๐๐๐๐ ila wewe mdada!
mkuu nakuambia vipi, huyo dada hujampenda na wala humpendi. Hapo kinachofanyika ni uchu wako tu
Ajabu ya sisi wanadamu hatujui kwamba hapa tumependa au hapa tumetamani tu,
Ngoja waje --- wataupinga huu uzi kwa nguvu zoteAfadhali ya kwako mm nilikuwaga na mmoja miaka kadhaa nyuma tuliwasiliana vizuri japo hatukuwah kuonana lakini hv visent vidogo vidogo nilimpa sana Tena sana hd rent ya nyumba alipata pale alipokwama yey hakuwa mvumilivu kwangu coz mm nilikuwa movement nying sana muda wa kumt ukawa mdogo ila nikamwambia usijar tutakuwa wote soon siku napiga simu anapokea kidumu jamaa akawa anakoroma nikamwambia broo relax akatukana sana ila kuja kumtrac akawa anapatikana sana local area nikaona mvimba macho tu yule bi mdada mpaka leo hii anapoligz sana ila nishamwambia it's too late!!!!
Broo Hawa wanawake wa humu kama unachapa chapa nenda usije ukautoa moyo wako kwa mtu ambae mmekutana mtandaoni itakucost sana kama hauna power fulani
Siriaz mkuu nakuambiaa.Hahahah sio kweli nilimpenda sana mkuu
Bora useme ukwelimkuu nakuambia vipi, huyo dada hujampenda na wala humpendi. Hapo kinachofanyika ni uchu wako tu
Ajabu ya sisi wanadamu hatujui kwamba hapa tumependa au hapa tumetamani tu,
Nimekuelewa kiongoziSiriaz mkuu nakuambiaa.
Hujampenda huyo dada.
Mwanamke ambae hukuplan kumfanya mwenza ndie ambae anakuwa mwenza, na mwanamke ambae unaplan awe mwenza unashangaa anakuwa mwanza wewe lindi.
Ni hivi mkuu..
Usiende kutafuta ftari wakati umefunga, kila chakula utaona ni kizuri.
Subiri ushibe ndipo ukatafute ftari ya kupika siku ingine.
Ukienda kutafuta chakula sokono wakati una njaa matokeo yake utaona kila chakula ni kizuri na kuanza kufakamia bills utaratibu wowote.
Ukijiona unataka mwenza na ikawa huoni pahala pa kupata ila mtandaoni basi jua una moyo wa kitoto, moyo wako hauchukulii uzito mahusiano.
Ikiwa moyo wako umeamini kwamba mtandaoni unaweza kuweka tangazo na ukampata mchumba bora kwa tangazo hilo,basi sioni ajabu moyo wako huo huo kuamini kwamba ulimpenda huyo binti.
Ina hitaji uwe na guts za viwango vya Streglers gorge ...kuandika Bango kwamba unatafuta mchumba Mtandaoni ''duh! !!Siriaz mkuu nakuambiaa.
Hujampenda huyo dada.
Mwanamke ambae hukuplan kumfanya mwenza ndie ambae anakuwa mwenza, na mwanamke ambae unaplan awe mwenza unashangaa anakuwa mwanza wewe lindi.
Ni hivi mkuu..
Usiende kutafuta ftari wakati umefunga, kila chakula utaona ni kizuri.
Subiri ushibe ndipo ukatafute ftari ya kupika siku ingine.
Ukienda kutafuta chakula sokono wakati una njaa matokeo yake utaona kila chakula ni kizuri na kuanza kufakamia bills utaratibu wowote.
Ukijiona unataka mwenza na ikawa huoni pahala pa kupata ila mtandaoni basi jua una moyo wa kitoto, moyo wako hauchukulii uzito mahusiano.
Ikiwa moyo wako umeamini kwamba mtandaoni unaweza kuweka tangazo na ukampata mchumba bora kwa tangazo hilo,basi sioni ajabu moyo wako huo huo kuamini kwamba ulimpenda huyo binti.
Nimekuelewa kiongozi
Ni utofauti wa mutazamo tu sisi tumechelewa sana kwenye kutumia technolojia, sishangai mtu anaeshangaa hili
Mzee baba hao wanao tumia hizo protocol ''tunasoma daily mitandaoni jinsi ambavyo ndoa zinavyo wapeleka mchaka mchaka na kuwa toa kamasi '''
Taifa kama la USA ndio linalo ongoza kwa kuwa na raia ambao ni single mother /father's moja wapo ya sababu zenyewe ni mambo hayo hayo '' Ya dating site. ...Halafu mwisho wa siku Wana mwagana '" ......sipingi kuhusu Suala la kuanzisha mahusiano na mtu ambaye mme kutana mitandaoni hata mimi ni muumini wa hilo --lakini sio mpaka kwa kufikia hatua ya kuandika Bango kuwa unatafuta mwenza ''
BTW == hizo ni opinion zangu 'kila mmoja ana amini kwenye mitazamo yake. ...Enjoy life mkuu
Nawe enjoy pia mkuu.