Mrejesho: Ahsanteni wana MMU kwa ushauri wa kibabe amerudi mwenyewe

Msitari wa pambizo

JF-Expert Member
Sep 25, 2014
2,878
4,874
Wakuu habari ya January

mtakumbuka siku chache zilizo pita nilikuja hapa kuwalalamikia kuwa mmenipa ushauri wa kipuuzi baada ya kuachwa na shemeji/wifi yenu eti kwa sababu nimemchapa kibao baada ya kunitibua.

Aliondoka na akasema harud tena, nilikuja hapa jamvini kuwalalamikia na ktk bandiko hilo kuna walionipa ushauri wakisema nimkazie, nisimtafute atarudi mwenyewe..

Niliamua kuufuata ushauri huo nilikaa kimya bila kumtafuta wala kuonesha kwamba ninajutia kwa kitendo nilicho fanya.

Jana amenitumia sms yey mwenyewe akiniomba msamaha na akasema hatarudia tena kwani amesha jua mimi ni mkali na sipendi utoto...

Ahsanteni wana MMU kumbe wanawake sometimes wanahitaji kubustiwa kidogo ili akili ikae sawa
 
Wakuu habari ya January

mtakumbuka siku chache zilizo pita nilikuja hapa kuwalalamikia kuwa mmenipa ushauri wa kipuuzi baada ya kuachwa na shemeji/wifi yenu eti kwa sababu nimemchapa kibao baada ya kunitibua.

Aliondoka na akasema harud tena, nilikuja hapa jamvini kuwalalamikia na ktk bandiko hilo kuna walionipa ushauri wakisema nimkazie, nisimtafute atarudi mwenyewe..

Niliamua kuufuata ushauri huo nilikaa kimya bila kumtafuta wala kuonesha kwamba ninajutia kwa kitendo nilicho fanya.

Jana amenitumia sms yey mwenyewe akiniomba msamaha na akasema hatarudia tena kwani amesha jua mimi ni mkali na sipendi utoto...

Ahsanteni wana MMU kumbe wanawake sometimes wanahitaji kubustiwa kidogo ili akili ikae sawa
Mura tata mbuya!! Hivi unafikiri kwa nini a kina Mura wake zao heshima mbele!! hawataki ujinga!! eti mwanamke hupigwa kwa khanga !! khaa!! kalaghabaho!!
 
Moja ya sheria zangu ni kuwa; Uliingia mara moja utatoka mara moja. Ukiondoka umeondoka waachie wengine. Na hii mwanamke anaambiwa tokea siku ya kwanza akishakubaliana na mimi kwenye mapenzi
 
Wakuu habari ya January

mtakumbuka siku chache zilizo pita nilikuja hapa kuwalalamikia kuwa mmenipa ushauri wa kipuuzi baada ya kuachwa na shemeji/wifi yenu eti kwa sababu nimemchapa kibao baada ya kunitibua.

Aliondoka na akasema harud tena, nilikuja hapa jamvini kuwalalamikia na ktk bandiko hilo kuna walionipa ushauri wakisema nimkazie, nisimtafute atarudi mwenyewe..

Niliamua kuufuata ushauri huo nilikaa kimya bila kumtafuta wala kuonesha kwamba ninajutia kwa kitendo nilicho fanya.

Jana amenitumia sms yey mwenyewe akiniomba msamaha na akasema hatarudia tena kwani amesha jua mimi ni mkali na sipendi utoto...

Ahsanteni wana MMU kumbe wanawake sometimes wanahitaji kubustiwa kidogo ili akili ikae sawa
Hana pakushikia huyo. Ndo mana karudisha makalio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah siku zote mikazo ndio dawa yao, unamzabua halafu unampotezea hadi aseme samahani. Asiposema ujue hakupendi, huyo amejutia kosa lake tayari.
 
Sasa kilichobaki nenda kajifunze kung fu kabisa ili safari hii usiishie kwenye kibao.

On a side note ngoja nikwambie kitu..

Katika uhusiano bila hata kutamkiana mwanaume hua yupo juu kimamlaka kuliko mwanamke, hii huja naturally. Kugombana hutokea pale mwanaume anapotaka ijulikane kwamba yeye yupo juu kimamlaka.

Kwa mfano; kibao ulichompiga na akaamua kurudi kimeshawaweka kwenye nafasi Tashwishwu ni kichwa although mwanzo ilikua ni naturally perceived kwamba Tashwishwi ndiyo kichwa.

Kifuatacho ni kwamba Tashwishi utalewa nafasi yako kama kichwa, kibao kimoja ulichompiga kimekufungulia njia kwenye kutumia vibao, ngumi, mateke, kumkimbiza akiwa uchi n.k. am simply saying unaupeleka uhusiano wako kwenye abusive relationship.

Kama utakua manipulator mzuri hatokuacha, hata umpigeje, ataondoka kama hivi after few days she gon come back wakati wewe bado ni yuleyule, mzee wa ngumi mkononi.

Ngumi, vibao siyo jibu katika mahusiano. Na hii ni kwa wote, maana kuna wanawake wana mikono miepesi pia.
 
Back
Top Bottom