Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Leo hii 13.06.2017 UONGOZI wa Blue Pearl Ubungo Plaza wametushtaki kwa kosa la uvamizi siku ya uzinduzi wa kitabu (sauti za watetezi wa haki vyuoni) siku ya 03.06.2017
Maratibu wa mtandao wa kutetea haki za watetezi Tanzania Mh. Onesmo Olengurumwa kapandishwa Mahakamani na kusomewa Mashtaka ya kuvamia Blue Pearl (trespass case) siku ambayo alikuwa akihudhuria kongamano la uzinduzi wa kitabu kilichoandikwa na ndg. Alphonce Lusako.
Awali polisi walivamia Hotel ya Blue Pearl na kumkamata mratibu huyo, zaidi soma => Polisi wavamia hotel ya Blue Pearl na kumkamata Mkurugenzi wa (THRDC) Onesmo Olengurumwa
Maratibu wa mtandao wa kutetea haki za watetezi Tanzania Mh. Onesmo Olengurumwa kapandishwa Mahakamani na kusomewa Mashtaka ya kuvamia Blue Pearl (trespass case) siku ambayo alikuwa akihudhuria kongamano la uzinduzi wa kitabu kilichoandikwa na ndg. Alphonce Lusako.
Awali polisi walivamia Hotel ya Blue Pearl na kumkamata mratibu huyo, zaidi soma => Polisi wavamia hotel ya Blue Pearl na kumkamata Mkurugenzi wa (THRDC) Onesmo Olengurumwa