Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Zama za makinikia zina mengi!!!
Mbona alipokuja uhuru haukusema,angemfaa kwenye upupu wa kampeni.. Huyu ni MKIKUYU 100%
Ha ha ha haaaa.. MKONO WA KUUME KWA BABA.Mvamizi wa Clouds Media Bashite haguswi mwasababu huko mkono wa kuume wa mwenye nchi.
We ndio mamaake?Huyu Olengurumwa kwanza ana tatizo la Uraia. Huyu ni MKIKUYU 100% ingawa anajiita Mmasai wa Loliondo. Akimaliza hapo apandishwe kizimbani kujibu aliipataje passport ya Tanzania. Hatutakaji ujinga sie. Najua atetewa humu, ila huyu sio Mtanzania.
Ukianza mambo ya Utaifa Kuna mtu aturudishwa Kigali hapa.Huyu Olengurumwa kwanza ana tatizo la Uraia. Huyu ni MKIKUYU 100% ingawa anajiita Mmasai wa Loliondo. Akimaliza hapo apandishwe kizimbani kujibu aliipataje passport ya Tanzania. Hatutakaji ujinga sie. Najua atetewa humu, ila huyu sio Mtanzania.
Wao hawajui kuwa wanajiharibia biashara. Ngoja wafanyiwe kama tasnia fulani inavyomnyima microphones mtu flani hivi!Inamana uongozi Wa hotel haukuwa na taarifa ya event?
Tasnia ya khabari na Dogo Bashite toka kijijiniWao hawajui kuwa wanajiharibia biashara. Ngoja wafanyiwe kama tasnia fulani inavyomnyima microphones mtu flani hivi!
Atajibu Mahakamani. NonsenseWe ndio mamaake?
Kuwa Mkikuyu hawezi kuwa Mtanzania? Mbona kuna Wahindi kibao Watanzania?
Nani atarudi Kigali? MTAJE MKUU maana wewe unawajua hawa wageniUkianza mambo ya Utaifa Kuna mtu aturudishwa Kigali hapa.
Kesi dhaifu mno !Leo hii 13.06.2017 UONGOZI wa Blue Pearl Ubungo Plaza wametushtaki kwa kosa la uvamizi siku ya uzinduzi wa kitabu (sauti za watetezi wa haki vyuoni) siku ya 03.06.2017
Maratibu wa mtandao wa kutetea haki za watetezi Tanzania Mh. Onesmo Olengurumwa kapandishwa Mahakamani na kusomewa Mashtaka ya kuvamia Blue Pearl (tracepass case) siku ambayo alikuwa akihudhuria kongamano la uzinduzi wa kitabu kilichoandikwa na ndg. Alphonce Lusako.
Awali polisi walivamia Hotel ya Blue Pearl na kumkamata mratibu huyo, zaidi soma => Polisi wavamia hotel ya Blue Pearl na kumkamata Mkurugenzi wa (THRDC) Onesmo Olengurumwa
Humjui au unaogopa ?Nani atarudi Kigali? MTAJE MKUU maana wewe unawajua hawa wageni
Nenda Kenya uone kama watakupa passport yao wewe kiumbeWe ndio mamaake?
Kuwa Mkikuyu hawezi kuwa Mtanzania? Mbona kuna Wahindi kibao Watanzania?
Simjui Mkuu wangu. NifahamisheHumjui au unaogopa ?