Nadir Naimuor
Member
- Sep 13, 2020
- 15
- 15
- Thread starter
- #21
Vyombo husika wafanye kazi kwenye hili na matukio mengine yanayo mwathiri binadamu au kukatishwa uhai wake kwa makusudi
We jamaa/binti ni bonge la stupid.Naunga mkono, kuna chama kinapata sapot ya Mabeberu ni hatari sana kichunguzwe
Nani wa kuchunguza na kama lini zaidi ya siasa chafuUchunguzi wa kina ufanyike. Matukio kama haya hayapaswi kuachiwa
Mnataka kuwasingizia chadema,ccm MNA roho mbaya sana kutoana roho kwa ajili ya matumbo yenu sio ngumu kwenu kabisa.Uchunguzi wa kina ufanyike. Matukio kama haya hayapaswi kuachiwa
Unadhani huyu bia yetu in MTU Wa maana basi.ukikutana nae hutaamini ni lijamaa mlevimlevi Fulani tu.we jamaa/binti ni bonge la stupid.
Labda alipora mke wa mtu ikawa wanamuonya hakomiKatibu mzima anakula makande kwa mama Ntilie wakati Polepole alisema wanatembea na 1Hz?
Siasa za kuuana sio siasa.. pole sana kwa familia ya mratibu.
Ccm mnatakiwa mfe muishe, mmebaki wachache sanaUchunguzi wa kina ufanyike. Matukio kama haya hayapaswi kuachiwa
Chadema wachunguzwe. Si ndio eeh?!Uchunguzi wa kina ufanyike. Matukio kama haya hayapaswi kuachiwa
Pengine walidhulumiana na watu au alichukua mke wa mtu.Uchunguzi wa kina ufanyike. Matukio kama haya hayapaswi kuachiwa
Asubuhi tu mtu anakula kande. Ndio maana wanaongeaga pumba tupu hata humu JfDah pole sana ,jamaa kande limemchukua ,hizi kande za asubuhi asubuhi waachieni wapare
Heheee jamaa asubhi ashabugia Makande lazima uumwe tumbo.Chama chetu kikubwa jamani. Makande asubuhi?!!?! Ukute hapo mpaka usiku hangekula tena.
Ndio maisha yao. Yaani ccm ni watu wa ajabu sana. Mgombra hana hata pesa za kuwapa waratibu wa kampeni zake?Unadhani huyu bia yetu in MTU Wa maana basi.ukikutana nae hutaamini ni lijamaa mlevimlevi Fulani tu.
Wamemweka kafara.MaCCM yana roho mbaya sana, yanatesti mitambo namna hiii kweli!
Mganga kawambia lazima mmoja wao asepe😅😅MaCCM yameanza kudedishana.Ukizoea kula ya mtu hakika huwezi Acha!
Punguani, Mbowe na genge lake wana genge la wahuni wa hatari.. Serikali ichukue hatua kali kwenye hili genge. Adui wa ndani ni hatari kuliko wa nje.Siasa za kulishana Sumu au kutembea na Sindano za Sumu au kupiga Wananchi Risasi ni Siasa za CCM Hilo halina ubishi