TANZIA Mratibu wa shughuli za mgombea ubunge jimbo la Sengerema amefariki dunia, adaiwa kulishwa Sumu

Vyombo husika wafanye kazi kwenye hili na matukio mengine yanayo mwathiri binadamu au kukatishwa uhai wake kwa makusudi
 
Dah pole sana ,jamaa kande limemchukua ,hizi kande za asubuhi asubuhi waachieni wapare
 
Siasa za kulishana Sumu au kutembea na Sindano za Sumu au kupiga Wananchi Risasi ni Siasa za CCM Hilo halina ubishi
Punguani, Mbowe na genge lake wana genge la wahuni wa hatari.. Serikali ichukue hatua kali kwenye hili genge. Adui wa ndani ni hatari kuliko wa nje.
 
Back
Top Bottom