km wa ardhi bw.rutabanzibwa,huyu mtu nikero kubwa sana wizarani kwake kila mfanyakazi analalamika na hata wananchi,toka ameamia pale wizarani inasemekana miradi yote ya maendeleo imesimama,kama mradi wa peri-urban development,20,000plot,na sasa anataka kuua mradi wa mjimpya kigamboni.
wafanyakazi wa wizara ya ardhi lazima walalamike mana wamezoea kuishi kwa rushwa na ufisadi! Hakuna cha miradi ya maendeleo ni miradi ya kula rushwa tu,lazima wamchukie sijui kama kina wizara iliyobingwa kwa rushwa kama wizara ya ardhi, double allocation uuzaji wa open spaces wao uchakachuaji wa hati ni wao kila ufisadi wao tu!
umakini wa namna gani ?kutia taifa hasara..!mradi wa 20,000plot uligarimu serikali mabilion ya fedha kabla haujakamilika nakurudisha garama na faida jamaa ameusimamisha,peri-urban hivyo hivyo fedha zimetolewa na worldbank na serikali lkn hakuna matunda!kwanin asiwafichue hao mafisadi kusimamisha miradi ndio kutimiza lengo la maendeleo?naomba tulifikirie hili swala kwa mapana zaidi sio kuangalia ufisadi tuu ..je amesaidia vp kufikiwa kwa malengo ya mradi?
JAMANI LEO NIMEONA KITU CHAKUSHANGAZA SANA KTK MKUTANO WA WAZIRI WA ARDHI KUHAMASISHA UENDELEZAJI WA MJI MPYA KIGAMBONI.KUNA KIKUNDI KILICHOJUNDA NAKUJITAMBULISHA NI WAWAKILISHI WA WAKAZI WA KIGAMBONI,HAWA WATU WANAPATA SAPORT KUBWA KUTOKA KWA KM WA ARDHI Bw.RUTABANZIBWA,HUYU MTU NIKERO KUBWA SANA WIZARANI KWAKE KILA MFANYAKAZI ANALALAMIKA NA HATA WANANCHI,TOKA AMEAMIA PALE WIZARANI INASEMEKANA MIRADI YOTE YA MAENDELEO IMESIMAMA,KAMA MRADI WA PERI-URBAN DEVELOPMENT,20,000PLOT,NA SASA ANATAKA KUUA MRADI WA MJIMPYA KIGAMBONI..MH.RAIS ALIPOTEMBELEA WIZARA HIYO MAPEMA MWEZI HUU ALISIFIA SANA HATUA ILIO FIKIWA KTK KUENDESHA MRADI..JAMBO HILI LILIONEKANA KUMKERA SANA BW.RUTA,IKAFIKIA HATUA YA KUTAKA KUMHAMISHA MRATIBU WA MRADI HUO BW.MTUI NA KATIBU WAKE BI.MPETULA,MADIWANI WA KIGAMBONI WALIPINGA SANA HII ATUA..CHAKUSHANGAZA LEO KTK KIKAO KUNABAADHI YA WATU WALIBEBA MABANGO KUMPINGA BW.MTUI KWAMBA ANAUZA VIWANJA KIGAMBONI BILA USHAIDI WOWOTE,HII NI MBINU YA BW.RUTA KUHALALISHA NIA YAKE MBELE YA MADIWANI. KWA HALI HII KWELI TANZANIA ITAPIGA HATUA YA MAENDELEO KAMA KUNA WATENDAJI WAKUU WANARUDISHA MAENDELEO NYUMA KIASI IKI? WAKAZI WA KIGAMBONI WANASEMA HAWATAMBUI KUWEPO KWA KIKUNDI HICHO KAMA WAWAKILISHI WAO..TUSHAURIANE WADAU!
KM WA ARDHI Bw.RUTABANZIBWA,HUYU MTU NIKERO KUBWA SANA WIZARANI KWAKE KILA MFANYAKAZI ANALALAMIKA NA HATA WANANCHI,TOKA AMEAMIA PALE WIZARANI INASEMEKANA MIRADI YOTE YA MAENDELEO IMESIMAMA,KAMA MRADI WA PERI-URBAN DEVELOPMENT,20,000PLOT,NA SASA ANATAKA KUUA MRADI WA MJIMPYA KIGAMBONI.
Wafanyakazi wa Wizara ya Ardhi lazima walalamike mana wamezoea kuishi kwa RUSHWA NA UFISADI! Hakuna cha miradi ya maendeleo ni miradi ya kula rushwa tu,lazima wamchukie sijui kama kina Wizara iliyobingwa kwa rushwa kama wizara ya Ardhi, Double Allocation uuzaji wa open spaces wao uchakachuaji wa hati ni wao kila ufisadi wao tu!
Hao wanomchukia Ruta hapo wizarani,watueleze vyema anawanyima nini?
pia hiyo miradi like 20,000plots mimi ni muathirika nayo kwani toka vipimwe na kuwekwa michoro ya barabara mpaka leo hakuna ukarabati,maji,umeme nk kama walivyotueleza wakati wa kununua kwamba kila kitu kitakuwepo.
sasa huyu Ruta anahusikaje kwalo?
Natoa sapoti yangu hapa. Kama anapenda rushwa, angetajirika enzi za IPTLKwa ninavyomfaham Bwana Patric kama anapinga hiyo miradi amenusa harufu ya rushwa.
Mradi sio wa MTUI au RUTA,ila kama watendaji wakianza kutofautiana inakuwaje sisi wananchi tusipatwe na wasiwasi na wale wanaosema huu mradi hauna manufaa kwa kigamboni wamechelewa sana,nawashauri watembele wiazara ya ardhi nakujua umuhimu wa mradi kwa taifa na wakazi wakigamboni..rais alisifia sanaa juhudi zilizofikiwa,Ruta hakufurahishwa na kitendo icho hali inayopelekea kudhorotesha utendaja,kama yeye ni mtendaji kweli alipaswa awashuulikie hao mafisadi na kuakikisha malengo ya miradi yanafikiwa..sio kuiua miradi na kuamisha watumishi..mm nadhani huyu bwana sio mpenda maendeleo ila ni mzuia maendeleo na yoyote anaye mtetea basi ana maslai kwake, katika orodha ya mafisadi wa CHADEMA ameshika nafasi ya saba.Wewe umetumwa na mafisadi na unaonekana humjui Ruta ni mzalendo wa kweli kati ya viongozi wachache tulionao hivi sasa, rejea sakata la vitambulisho vya taifa alipoweza kupambana na aliyekuwa boss wake Waziri wa mambo ya ndani Laurence masha hadi Masha akasalimu wakati huo Ruta alikuwa katibu mkuu wa wizara hiyo. Ruta ni mwadilifu kama amestukia jambo katika mradi wa kigamboni mimi nina imani naye naomba sote tufuatilie lakini nilichotaka kukujulisha tu kwamba Ruta ni mpambanaji kama kutakuwa na uozo kauona katika mradi huo.
Lakini pia Ruta sio mwenye kauli ya mwisho kwenye mradi huo kwani kuna waziri wake mama Tibaijuka naamini hataonewa mtu lakini kwa mama huyu chonde chonde wale wote wanaotaka kujinufaisha kupitia mradi huu badala ya wananchi wa kigamboni na taifa kwa ujumla wamekutana na visiki safari hii. Mradi huu ni wa wananchi sio wa Mtui wala Ruta tunachotaka ni manufaa kwa taifa letu.
Ndugu Rutabanzibwa anafanya kazi nzuri pale Ardhi na amewatimua au kuwahamisha maafisa ardhi wengi ambao ni mafisadi. Ni mtu makini sana na hapendwi na mafisadi kwani huzuia ulaji wao.