LORD ASHBURTON
Member
- May 5, 2014
- 92
- 45
Mimi kama mwanachama wa Kawaida na mkereketwa wa Chadema Mkoa wa Temeke nimefadhaishwa sana na Huyu Mtaribu wa Kanda ya pwani namna anavyoendesha chama na sijui pia waliomteua walitumia vingezo gani mbona ni tofauti na waratibu wengine. Nimekuwa pia nikisikia kutoka kwa wanachama na hasa Viongozi wengi wa Mkoa wa Dar wakimlalamikia kuwa anaua chama na walio mteua wanamuangalia tu.
1. Amekuwa anaficha kadi za Chama na viongozi wa chadema ni msingi wakienda kumomba kadi hatoi ila anagawa katika jimbo analotaka kugombea yeye huko Ukonga.
2. Ofisi ya Kanda ipo Kibaha ila yeye anashinda Makao Makuu wakati Chama kinatakiwa kijengwe maeneo ya pembezoni wa kanda hii hata vikao amekuwa akiitisha Makao Makuu na mara nyingi sisi wanachama na viongozi wa majimbo tumekuwa tukimpnga lakini bila mafanikio pamoja naa yeye kuwa na kiburi kupita kiasi.
3. Amekuwa na Arrogance za ajabu sana kiasi kwamba mpaka viongozi wa majimbo wamekuwa wakihoji je anatoa wapi hicho kiburi maana hafanyi kazi za Chama zaidi ya kujiita Wakili kumbe siyo wakili na habari hizi zimepatikana hivi punde kutoka kwa rafiki jamaa zake wa Karibu na amakuwa akiwadaanganya hata viongozi wake kuwa yeye ni wakili kumbe siyo na kasoma pale Open.( Ingawa uwakili wake hauna uhusiano na ujenzi wa Chama)
4. Kwa kiasi kikubwa tusipo kuwa makini kwa Mkoa wa Dar Chadema tunadidimiza Chama maana mratibu huyu ni tofauti na Waratibu wengine huko Mikioani wamekeuwa wakifanya kazi kubwa sana.
5. Ni rai yangu kuwa tumekuwa tukilalalamika kupitia vikao halali vya chama lakini hakuna chochote kinacho fanyika na Chama tunakipenda labda kupitia majukwaa kama haya viongozi watatuelewa maana mwisho wa siku sisi Canachama tutakata tamaa japo tunakipenda chama.
6.Viongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam akina Kileo hakuna hatua walizochukua kabisa juu ya swala hili wakati Chama kinaendela kufa na ningependa viongozi wa juu walichukulie swala hili serious na si vinginevyo kwani karibu viongozi wa majimbo wote hawamtaki sasa je anafanya kazi na nani?.
1. Amekuwa anaficha kadi za Chama na viongozi wa chadema ni msingi wakienda kumomba kadi hatoi ila anagawa katika jimbo analotaka kugombea yeye huko Ukonga.
2. Ofisi ya Kanda ipo Kibaha ila yeye anashinda Makao Makuu wakati Chama kinatakiwa kijengwe maeneo ya pembezoni wa kanda hii hata vikao amekuwa akiitisha Makao Makuu na mara nyingi sisi wanachama na viongozi wa majimbo tumekuwa tukimpnga lakini bila mafanikio pamoja naa yeye kuwa na kiburi kupita kiasi.
3. Amekuwa na Arrogance za ajabu sana kiasi kwamba mpaka viongozi wa majimbo wamekuwa wakihoji je anatoa wapi hicho kiburi maana hafanyi kazi za Chama zaidi ya kujiita Wakili kumbe siyo wakili na habari hizi zimepatikana hivi punde kutoka kwa rafiki jamaa zake wa Karibu na amakuwa akiwadaanganya hata viongozi wake kuwa yeye ni wakili kumbe siyo na kasoma pale Open.( Ingawa uwakili wake hauna uhusiano na ujenzi wa Chama)
4. Kwa kiasi kikubwa tusipo kuwa makini kwa Mkoa wa Dar Chadema tunadidimiza Chama maana mratibu huyu ni tofauti na Waratibu wengine huko Mikioani wamekeuwa wakifanya kazi kubwa sana.
5. Ni rai yangu kuwa tumekuwa tukilalalamika kupitia vikao halali vya chama lakini hakuna chochote kinacho fanyika na Chama tunakipenda labda kupitia majukwaa kama haya viongozi watatuelewa maana mwisho wa siku sisi Canachama tutakata tamaa japo tunakipenda chama.
6.Viongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam akina Kileo hakuna hatua walizochukua kabisa juu ya swala hili wakati Chama kinaendela kufa na ningependa viongozi wa juu walichukulie swala hili serious na si vinginevyo kwani karibu viongozi wa majimbo wote hawamtaki sasa je anafanya kazi na nani?.