Ok dada yangu.Viongozi wengi wa chadema ni majanga, usimuonee yeye tu. Slaa mbona anatumia hela za chama hovyo sana na mmekaa kimya tu. Kwa ujumla cdm ni janga tz.
Lord ashburton,
Inawezekana kuna jambo amekukera huyo mratibu lakini mimi nadhani kama wewe ni mwanachama na unataka chama kikue unafahamu utaratibu wa kupeleka malalamiko ili tatizo lako lishughulikiwe kwa mujibu wa katiba, kanuni na miongozo ya chama chetu. Ukiweka hapa JF, jambo rasmi la kichama sana sana unaongeza tatizo kwa washindani wetu wa kisiasa. Nakushauri andika barua ya malalamiko kwa mamlaka husika. Huku JF tupambane na ccm na siyo sisi kwa sisi. Simtetei Tugara kwa kuwa sijui lalamiko lako ila naelezea taratibu, kanuni na jinsi katiba inavyotutaka tufanye.
Hongera kwa kufanya kazi za chama kwa bidii kama maelezo yako yanavyojieleza.
Mkuu Kufanya kosa ni Kosa na Kurudia Kosa ni kuimarisha Kosa
Mkuu Mikael P Aweda:
Wewe ni mnafiki sana, mara ngapi viongozi wa CHADEMA tena wabunge wanakuja kukashifiana hapa jamvini na hauwashauri hivi? Acha kuwa biased mkuu.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ki-wa-zitto-kabwe-na-suala-la-posho-lema.html
Viongozi wengi wa chadema ni majanga, usimuonee yeye tu. Slaa mbona anatumia hela za chama hovyo sana na mmekaa kimya tu. Kwa ujumla cdm ni janga tz.