Digaller
JF-Expert Member
- Oct 20, 2009
- 745
- 427
Kuna tetesi kuwa yule fisadi wa kutisha mwenye kesi ya matumizi ya ofisi ya uma vibaya yuko hospitali anatibiwa presha baada ya kuwekeza mabilioni ya kutosha kwenye kampeni na kuambulia patupu. Kwa hesabu za haraka haraka ametumia kama bilion 2 kuusaka uheshimiwa. BYE BYE MRAMBA:israel: