William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,374
..huyu Kimaro si alikuwa kwenye kundi la "wapiganaji"? halafu leo yuko pamoja na Basil Pesambili Mramba? CCM kweli ni wasanii.
- Mhhhhhhhhh! hizi hukumu JF bwana yaani ukiwa na mtu flani basi unakuwa kama yeye, okay how about this?
Respect.
FMEs!