hata Watanzania wakila majani poa tu lazima ndege ya rais inunuliwe nikiwa kama waziri wa fedha.Huyu jamaa ni hatari sana maana hata wakati akiwa mkuu wa mkoa kule mbeya alijimilikisha mashamba mengi ndiyo maana wanambeya wanazidi kuichukia CCM
Mungu amejibu maombi, na kura zimesema kweli na tume kuthibitisha.Mramba bye bye mjengoni.Utasikia mjengoni kwenye bomba.Hukumu ya wananchi tayari, nw subiri ya mahakama fisadi mkubwa wee!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.