Mradi wa umeme Stieglers, kweli Magufuli kaona mbali

sina uhakika sana unaweza usikae zaidi ya miaka 10, maana vyanzo vya maji vinakauka kwa kasi sana miaka hii kutokana na mvua kutokunyesha kama zamani,
Uharibifu wa mazingira unaokausha vyanzo vya maji unakuwa kwa kasi..Na jinsi mzee alivyohamasisha watu kuzaliana kwa fujo ndio itakuwa balaa zaidi miaka ya inayokuja
Capacity ya hilo bwawa itakuwa inapungua kwa kasi kama yalivyokuwa mabwawa mengine ya kuzalisha umeme wa maji

Maumivu yakizidi muone daktari.. kwa sasa pokea hizi 💉💉💉
 
Stieglers Gorge Dam ni kweli wazo limekuwapo toka mid 1970s.

Hata hivyo marais wote wakawasikiliza washauri wasiotutakia mema.

Hilo tatizo la decrease in percipitation naona mnaliona Tanzania tu lakini Aswan High Dam- Misri, Akosombo Dam- Ghana, Jinja Nile Dam- Uganda, huko matatizo hakuna kabisa!

Mkiambiwa mmekula ndoano za mabeberu na kuimba nyimbo wanazo watuma mnakuja juu.
Sasa mito yalipo hayo mabwawa kweli unaweza kujilinganisha nao? Mkuu kuwa serious basi. Unakumbuka bwawa la mtera lilivyokuwa?
 
Stieglers Gorge Dam ni kweli wazo limekuwapo toka mid 1970s.

Hata hivyo marais wote wakawasikiliza washauri wasiotutakia mema.

Hilo tatizo la decrease in percipitation naona mnaliona Tanzania tu lakini Aswan High Dam- Misri, Akosombo Dam- Ghana, Jinja Nile Dam- Uganda, huko matatizo hakuna kabisa!

Mkiambiwa mmekula ndoano za mabeberu na kuimba nyimbo wanazo watuma mnakuja juu.
Umenijibu kisiasa. Nimekuja kwa mifano hai wewe unanipa sweeping statement. Vipi?
 
Asante sana mkuu. Miaka ya 1980-90 nchi ilikuwa ya kijani kweli kweli. Nakumbuka kule Kilimanjaro kulikuwa kuna vi mto vingi vidogo vidogo ila vyote vilishakwenda kusiko julikana. Ukitaka kujua utofauti pia tembelea msitu wa mafinga ulivyo sasa!
Au uwe Morogoro mjini uiangalie milima ya Uruguru, enzi zile ilikuwa maji yanatiririka mpaka Mbaraka Mwinshehe akatungia wimbo.
 
Umenijibu kisiasa. Nimekuja kwa mifano hai wewe unanipa sweeping statement. Vipi?
Mkuu hapa ni mahali pa great thinkers.
Unipe jibu la lile wingu linaloikwepa Tanzania , na kwingineko hakuna tatizo hilo.
Sipingi kuwa kuna global warming na climate change, lakini tukiwa na mentality ya kila kitu kutowezekana kwa vile tumeaminishwa hivyo, sioni jinsi tunavyoweza kuendelea.

Maendeleo ni mindset.
 
Blah blah zote waliomtangulia katika kuongoza nchi walishindwa. Hata kama waliyaongelea karne za mwanzo.. uamuzi wa JPM na kushikilia alilokuwa ameamua lifanyike ndio tunaona matokeo.. utakuwa umepitwa na nini kilijiri hadi palipofikia kwenye haya.

Hongera nyingi tena na kwa asilimia elfu moja zinaenda kwa Rais Mh. Magufuli.

Magufuli oyeeeee
Matokeo yako wapi? Hiki kipindi cha kuchimbia hela kwenye udongo unaita matokeo? Subiri project iishe then njoo na hii post
 
Mkuu hapa ni mahali pa great thinkers.
Unipe jibu la lile wingu linaloikwepa Tanzania na kwingineko hakuna tatizo hilo.
Sipingi kuwa kuna global warming na climate change, lakini tukiwa na mentality ya kila kitu kutowezekana kwa vile tumeaminishwa hivyo, sioni jinsi tunavyoweza kuendelea.
Maendeleo ni mindset.
Nimekutajia projects na sababu zilizopunguza maji by 36% ya yale yaliyokuwapo wakati Feasibility Study inafanyika. Irrespective ya global warming. Hizo pekee ni impediment kubwa. Ndiyo maana hata Egypt wana mgogoro na Serikali ya Ethiopia wanapotaka kuendeleza mradi wa The Grand Renaissance Electric Dam Project kwa kuwa utapunguza maji yanayokwenda Aswan na kwenye kilimo chao.
 
Nimekutajia projects na sababu zilizopunguza maji by 36% ya yale yaliyokuwapo wakati Feasibility Study inafanyika. Irrespective ya global warming. Hizo pekee ni impediment kubwa. Ndiyo maana hata Egypt wana mgogoro na Serikali ya Ethiopia wanapotaka kuendeleza mradi wa The Grand Renaissance Electric Dam Project kwa kuwa utapunguza maji yanayokwenda Aswan na kwenye kilimo chao.
Kwa hiyo the way forward kwa upande wako ni , fold your arms and pray for the best?
Thats a losers mentality.
 
Kwako wewe umeme ndiyo kitu pekee kinachovutia uwekezaji. Wazo la ajabu sana hili!!

Wamarekani wanapokwenda kuwekeza China ni kwa kuwa kwao Marekani hakuna umeme!!??

Umewahi kujiuliza ni kwa nini Kenya kuna uwekezaji mkubwa sana kuliko kwetu Tanzania. Unadhani chanzo cha uwekezaji huo Kenya ni kwa kuwa wana umeme mwingi?
Unapozungumzia masuala ya viwanda umeme lazima uuweke.
Kenya inazalisha umeme kutuzidi na wala kwao umeme haukatiki hovyo km kwetu.
Hakuna taifa linaloweza kwenda kuwekeza ktk viwanda sehem ambayo umeme ni wa kusuasua.
Hivyo amongst major factor inayovutia uwekezaji ni umeme.
Vingine km cheap skilled labours vinafuata.
Yeye kazungumzia factor ya umeme hakusema kuwa umeme pekee ndio unavutia uwekezaji.
 
Bloomberg
Economics

The World’s Next Factory Won’t Be in South Asia

The region is losing out to Africa and elsewhere in the race to attract manufacturing investment
.


Ref ; https://www.bloomberg.com/amp/opini...en-t-going-to-india?__twitter_impression=true


Inaelekea wazo la kujenga mtambo wa umeme huko Stieglers Gorge, utalipa.

Wazo hili linalotekelezwa na Mh Pombe Magufuli ni msingi mkubwa wa uchumi wa viwanda.

Nchi za duniaya kwznza zimeanza kugeukia Afrika ili kuwekeza kwenye viwanda, na umeme utakuwa kichocheo kikabwa kuwavutia.

Hongera JPM.
Lile lilikuwa wazo zuri sana miaka ya 70 na 80; baada miongo mitatu dunia imeshuhudia athari kubwa za mazingira, vyanzo vya maji vimekauka, misitu imekeketwa kwa kasi ya ajabu, mvua zinanyesha kivivuvivu sana na mito mingi imekauka au ujazo umepungua sana, ukitumia google maps na google weather unapiga hesabu kidogo tu unabaini kwamba miaka 10 tu down the road bwawa hilo litakuwa katika mashaka makubwa sana kuendelea kuzalisha umeme na hapo ni kama kwa sababu za kibajeti; bwawa hilo litakamilika kujengwa maana na uchumi nao hali ni tete, kama unafuatilia kisomi na sio ngonjera za majukwaani kwamba Tanzania ni nchi tajiri sana!
 
Kwa hiyo the way forward kwa upande wako ni , fold your arms and pray for the best?
Thats a losers mentality.
You dont fold your arms, rather you respect science and go for renewable sources of energy; go green, Geothermal, wind, nuclear, solar, bio etc etc; badala ya kuunguza and stretch your meagre resources thin kwa kukimbiza kitu ambacho unajua wazi na vigezo viko wazi kwamba maji yanakwisha, hydro based energy is a no go area and mind you the 3rd world war itapiganwa kwa sababu za upungufu wa maji, follow the Egypt ethiopia negotiations kuhusu ile project ya ethiopia utaelewa unachoambiwa hapa!!
 
Mkuu hapa ni mahali pa great thinkers.
Unipe jibu la lile wingu linaloikwepa Tanzania na kwingineko hakuna tatizo hilo.
Sipingi kuwa kuna global warming na climate change, lakini tukiwa na mentality ya kila kitu kutowezekana kwa vile tumeaminishwa hivyo, sioni jinsi tunavyoweza kuendelea.
Maendeleo ni mindset.

Mkuu nakubaliana na wewe kabisa kwamba umeme ni chachu muhimu sana kwa maendeleo ya nchi yeyote ile, hapo tuko pamoja.

Lakini kufikiria chanzo kimoja au suluhisho pekee la kupata umeme ni hili Bwawa jipya wakati athari za mabadiliko ya tabia nchi zinaendelea kuitishia dunia ndio panapoanza kuleta ukakasi.

Bado tungeweza kutatua hili jambo kwa njia mbadala kama kuboresha umeme wa gas na kuangalia uwezekano wa kutumia umeme wa upepo. Na hata nuclear siku za usoni.
Achilia mbali mambo ya Umeme wa jua ambao hauwezi kuuongelea sana kwa sasa hasa unapojadili mambo ya viwanda.

Uthubutu alionao ukitumika vizuri utamfanya awe kiongozi wa kuigwa na kubaki kwenye historia yetu akikumbukwa kwa mema.

Kwa upande mwingine, tumeona viwanda vilivyoleta athari hasa upande wa mazingira tukirejea China. Tatizo la hewa safi linazidi kuongezeka na ni tishio kwa sasa. Je, tumejiandaa au tunamikakati gani kuhakikisha maendeleo ya viwanda tunayotakusudia hayaathiri mazingira yetu?
 
Studies zinaonyesha kuwa Mwl JKNyerere ndiye aliyebuni mradi wa umeme wa Stiglers Gorge through taasisi ya RUBADA mapema 1980. Na upembuzi yakinifu ulifanyika. Kwa sababu mbali mbali mradi hauku take off wakati ule umekuja kukazimishwa mwaka 2016 na Jiwe.

Hakuna upembuzi yakinifu mwingine uliofanyika zaidi ya copy and paste ili kumridhisha Jiwe ambaye akiamua la kwake ameamua. By rule of thumb inawezekana 36% ya maji yamepungua kati ya mwaka 1978 na 2016 kutokana na sababu zifuatazo;

1. Utekelezaji wa Mtera Dam pale kati ya Dodoma na Iringa

2. Utekelezaji wa Kijansi Electricity Project pale Kilombero

3. Shughuli za binadamu kwenye bonde la Usangu na bonde la Kilombero

4. Mabadiliko ya tabia nchi kusababisha mvua kupungua

5. Mito yetu kujaa matope sana

Hata ukirudi nyuma tuliaminishwa wakati Mtera inajengwa mwaka 1981 na Kihansi mwaka 1993 kuwa yalikuwa ni masuluhisho ya matatizo ya umeme Tanzania. Lakini shida ziliendelea mpaka leo.

Kama Jiwe angekuwa rational angekubali tu tuendelee na umeme wa gesi ya Mtwara. Ila anataka ku mprove JK kuwa alikuwa wrong yeye ndiyo ana upeo. Kitu ambacho si kweli
Uwanaharakati na awareness ya mazingira inavyozidi kuongezeka, huko mbeleni tutashindwa hata kutumia makaa yetu ya mawe. We zetu wanayatumia sasa sisi tunayawekeza.
 
Blah blah zote waliomtangulia katika kuongoza nchi walishindwa. Hata kama waliyaongelea karne za mwanzo.. uamuzi wa JPM na kushikilia alilokuwa ameamua lifanyike ndio tunaona matokeo.. utakuwa umepitwa na nini kilijiri hadi palipofikia kwenye haya.

Hongera nyingi tena na kwa asilimia elfu moja zinaenda kwa Rais Mh. Magufuli.

Magufuli oyeeeee
Mkuu umesahau kusema "Mtukufu"!
 
Kwako wewe umeme ndiyo kitu pekee kinachovutia uwekezaji. Wazo la ajabu sana hili!!

Wamarekani wanapokwenda kuwekeza China ni kwa kuwa kwao Marekani hakuna umeme!!??

Umewahi kujiuliza ni kwa nini Kenya kuna uwekezaji mkubwa sana kuliko kwetu Tanzania. Unadhani chanzo cha uwekezaji huo Kenya ni kwa kuwa wana umeme mwingi?
Kila saa mnakimbilia kutaja kenya,hebu jiulize ni kwa nini kenya ilipigania uhuru kwa kumwaga damu,halafu utajua kwa nini kenya ina uwekezaji mkubwa.

Pia kwa upofu wako wa historia unashindwa hata kuiona tofauti ya hizi nchi mbili kihistoria,wakati sisi tulikulia usoshalisti wa kimashariki wao kenya walikuwa wakiamini katika ubepari na hivyo kuwavutia wazungu miaka nenda rudi.

Na ndio maana hadi leo kenya migogoro ya ardhi ipo kwa kiwango cha kutisha.
Ardhi yenye rutuba kwa kiwango kikubwa inamilikiwa na settlers wa kizungu na wakikuyu.
Stay awake sio kila kitu unakimbilia kuitaja kenya tu,je wayajua maisha halisi ya common mwananchi wa kenya?
Acha ujuha.....nchi hii itajengwa na wenye moyo.
 
Unapozungumzia masuala ya viwanda umeme lazima uuweke.
Kenya inazalisha umeme kutuzidi na wala kwao umeme haukatiki hovyo km kwetu.
Hakuna taifa linaloweza kwenda kuwekeza ktk viwanda sehem ambayo umeme ni wa kusuasua.
Hivyo amongst major factor inayovutia uwekezaji ni umeme.
Vingine km cheap skilled labours vinafuata.
Yeye kazungumzia factor ya umeme hakusema kuwa umeme pekee ndio unavutia uwekezaji.
Swali ambala hatugusii ni hili, "Ikiwa tumeshindwa kuu-manage vizuri umeme tulionao sasa, tuna hakika gani tutau-manage tunaoelekea kuzalisha"?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom