ukiwa na reli efficient kufikisha mzigo mwanza bado mnaweza kugawana na kenya mzigo wa uganda..lakini pia utasaidia mizigo ya Tz kwwnda uganda kuwa Rahis zaidiSio Uganda tu mpaka Southern Sudan
ukiwa na reli efficient kufikisha mzigo mwanza bado mnaweza kugawana na kenya mzigo wa uganda..lakini pia utasaidia mizigo ya Tz kwwnda uganda kuwa Rahis zaidiSio Uganda tu mpaka Southern Sudan
Ni kutokujua , competitor wetu ni Mombasa, Usipomkamata Uganda na Southern Sudan Mkenya atapumua sanaaaukiwa na reli efficient kufikisha mzigo mwanza bado mnaweza kugawana na kenya mzigo wa uganda..lakini pia utasaidia mizigo ya Tz kwwnda uganda kuwa Rahis zaidi
Hizi kambi zikiisha matumizi ya kukaliwa na vibarua na wengine, mradi ukikamilika mzigeuze shule tafadhariMradi wa ujenzi wa reli ya kisasa Mwanza - Isaka waanza kwa kasi
View attachment 1898857
View attachment 1898858
View attachment 1898859
View attachment 1898860
View attachment 1898861
View attachment 1898862
View attachment 1898863
View attachment 1898864
Inawezekana ila zitahitaji modification ya hali ya juu sana maana majengo yake yana vyumba vidogovido sana, yameishia usawa wa lenta wa nyumba ya kawaida.Hizi kambi zikiisha matumizi ya kukaliwa na vibarua na wengine, mradi ukikamilika mzigeuze shule tafadhari
Kumbe ni tuvyumba sio vyumba! Basi ziwage sello tu za waharifu au unasemaje bro..?Inawezekana ila zitahitaji modification ya hali ya juu sana maana majengo yake yana vyumba vidogovido sana, yameishia usawa wa lenta wa nyumba ya kawaida.
Yatafaa sana kwa zahanati, na vituo vya afya japo uhitaji wa eneo husika (shule au zahanati) uzingatiwe pia
Majengo makubwa ila ndio yamepigwa partion za kufa mtu.Kumbe ni tuvyumba sio vyumba! Basi ziwage sello tu za waharifu au unasemaje bro..?