Habari zenu wanajamii,
Kama kuna mtu anafahamu juu ya ufugaji wa ng'ombe wa maziwa naomba tushee utaalam ili nijue faida ya biashara hiyona hasara ya na vitu vinavyotakiwa kuanzia wanapopatikana hao ng'ombe na bei wanazouzia,soko la maziwa na tahadhari zake...naomba msaada wenu tafadhari
Kama kuna mtu anafahamu juu ya ufugaji wa ng'ombe wa maziwa naomba tushee utaalam ili nijue faida ya biashara hiyona hasara ya na vitu vinavyotakiwa kuanzia wanapopatikana hao ng'ombe na bei wanazouzia,soko la maziwa na tahadhari zake...naomba msaada wenu tafadhari
Wakuu nawasalimu sana. Napenda kabla ya yote niappreciate michango yenu hasa katika forum hii, imekuwa ikinisaidia sana. Sasa turudi kwenye uzi huo hapo juu:
Naomba mwenye ushauri juu ya jambo hilo anisaidie please, nipo dar natamani kuanza mradi huo januari mwakani. Mpango ni kuwa na ng'ombe bora kama 10 hivi (wenye uwezo wa kutoa minimum of 10 liters/ng,ombe per day), shamba kwa ajili ya kufugia na kuotesha malisho ya mifugo hiyo (about 6 acres). Naomba ushauri kuhusu yafuatayo:
Mbegu bora ya ng'ombe wa maziwa
Eneo lililopo nje kidogo ya mji ambalo naweza kulitumia( kwa kulinunua)
Ushauri wa namna bora ya kufanya mradi huo.
Please kwa anaejua possible costs za eneo na ng'ombe wazuri nitashukuru.
Wapendwa wana JF, heshima kwenu, pia poleni na pilika za maisha.
Back to the topic;
Mwenzenu nimechoshwa na kazi ya kuishi kwa kutegemea mshahara. Nataka kuwa mjasiria mali hasa katika ufugaji wa ng'ombe wa maziwa.
NB: Naomba mniambie zile nyasi za kulishia ngo'ombe wa maziwa ndani (Zero grazing) zile ambazo huwa zinapandwa na kuvunwa -ZINAITWAJE? NAWEZA KUZIPATA WAPI (MBEGU ZA HIZO NYASI) ili nizioteshe mwenyewe huku niliko..maana kununua sitoweza.
Nataka kuanza na ng'ombe watatu wa maziwa approx. kila ngo'mbe anipe lita 12 za maziwa kwa siku = Lita 36....je kwa mlio wazoefu na ufugaji hii hesabu yangu yaweza kutimia au nime-over estimate?
Natangulisha shukrani wadau.
Habari wanajukwaa,
Nataka nianze mradi wa ufugaji wa ng'ombe wa kisasa wa maziwa kwaajili ya biashara,naomba wenye uzoefu wa ufugaji huu wanisaidie kupata somo na mambo ya kuzingatia wakati wa ufugaji.
Pia naomba kujuzwa mbegu bora ni ipi,upatikanaji wake na soko la maziwa likoje.niko Dar es salaam.
Asanteni