Mradi wa Ufugaji wa ng'ombe

Naomba kujuzwa , hivi kwenye ranchi za serikali huwa wanauza ng'ombe kwa watu binafsi? Je, huwa ni utaratibu upi unapaswa kufuata ili uuziwe ng'ombe?
 
Nina tatizo Kama lako la Aina hiyo ya ngombe kutoa maziwa kidogo na katika kudadisi kwangu nikaambiwa kadri atakavyokuwa ana zaa maziwa yatakuwa yakiongezeka ,Sasa ana mimba miezi sita nangoja nione

Pili nimembiwa ngombe akiwa na kiwele kikubwa anatoa maziwa mengi sijui Ni Kweli...
Kwa uzoefu wangu naamini ng'ombe mwenye kiwele kikubwa na chuchu kubwa nakuwa na asilia nyingi za kutoa maziwa mengi.
 
AINA ZA NG’OMBE WA MAZIWA

Kuna aina nyingi za ng’ombe wa maziwa ambao hutofautishwa kwa sifa zifuatazo;

-Umbo, mahali alipotokea.
-Rangi ya ngozi
-Uzalishaji wa maziwa nk.

Zaidi kabisa kuna aina kuu mbili ambazo ni; “Bos taurus” na “Bos indicus”.

Bos taurus inahusisha: Friesian, Ayrshire, Brown Swiss, Guernsey and Jersey na wengine wengi kama vile (Red Dane, Swedish Red and White, Holstein Friesian nk.)

Bos indicus inahusisha: Sahiwal, Red Sindhi, Kenana, Criolo, Tharpakar nk.

1. FRIESIAN/FRESHIANI

-Asilia yao ni holand.

-Hutambuliwa kwa kuwa na rangi nyeupe na nyeusi.

-Uzalishaji bora wa maziwa (7800l/mwaka).

-Walikuwa maalum kwa ajili ya kutengenezea “cheese”.

2. AYRSHIRES

-Wanatambuliwa kwa kuwa ana rangi nyekundu na nyeupe.

-Wanatoa maziwa yenye wastani wa fati 4%.

-Huzalisha maziwa yenye fati nyingi (5400l/mwaka).

3. JERSEYS

-Asili yao ni visiwa vya jersey katikati ya Uingereza na Ufaransa.

-Wanatambuliwa kwa kuwa na rangi mtambuka wa nyeusi na kahawia.

-Maziwa 5700l/mwaka.

-Maalum kwa ajili ya utengenezaji wa “butter”.

KUHUSU UNUNUZI WA HEIFER/MTAMBA.

Siku zote hatushauri mfugaji atafute mtamba mbadala kwa sababu zifuatazo;

-Hawapatikani kwa urahisi na kama wakipatikana ni ghali sana.

-Hatari ya kuingiza magonjwa shambani kwako.

-Ugumu wa kufuatilia historia ya wazazi.

-Hakuna mfugaji anaeweza kuuza mtamba wake bora.

JE WAJUA Kila mwaka ng’ombe wengi wa maziwa wanaondolewa katika shamba kwa sababu mbalimbali ???

Zifuatazo ni sababu kuu;

-Uzalishaji mdogo wa maziwa

-Magonjwa ya kuambukiza na yasiyo ya kuambikiza (TB).

-Matatizo ya uzazi

-Kuuzwa au kuchinjwa tu bila sababu maalum.

HIVYO USHAURI NI KWAMBA, SI KILA MTAMBA UNAOUZWA NI BORA HIVYO ZINGATIA SANA KUOMBA TAARIFA NA KUMBUKUMBU ZA MTAMBA PINDI PALE UTAKAPO ENDA KUNUNUA MTAMBA.

Kuhusu upatikanaji wake kwa huko songea sijafahamu ila Njombe kuna shamba moja kubwa la serikali lipo maeneo ya kitulo pale utapata mtamba mzuri kwa bei nzuri..
Thanx mkuu, nimepata madini adimu, kama hautojali weka namba ya simu utusaidie zaidi.
 
Habari za jioni wakuu poleni na mihangaiko ya kutwa.

Naomba tupeane uzoefu wa kina na source za ukweli wa upatikanaji wa mbegu bora ya ng'ombe hususani hapa Dar na mikoa ya jirani kikubwa kupata taarifa za kutosha ya mashamba makubwa au mashamba binafsi yenye mbegu Bora.

Ninafuga mifugo mbali mbali na kwenye ng'ombe nime weka nguvu kiwango cha maziwa kiko chini Sana walau nikipata jike wa Lita kumi na tano na kuendelea ntashukur vile vile de Bora la mbegu.

Kwa yoyote mwenye taarifa za kutosha ruksa ku share information.

Karibuni kwa mawazo wakuu
 
Mkuu skushauri utafute mbegu bora kama unavodhazani ila wewe ndio ubarishe njia za ufugaji wako namaanisha managemnet leo utaenda kununua mbegu bora yenye maziwa ya kutosha lkn mwsho wa siku atapunguza maziwa kama managemnt yako n sio nzuri kama alikotokea
Habari za jioni wakuu poleni na mihangaiko ya kutwa.

Naomba tupeane uzoefu wa kina na source za ukweli wa upatikanaji wa mbegu bora ya ng'ombe hususani hapa Dar na mikoa ya jirani kikubwa kupata taarifa za kutosha ya mashamba makubwa au mashamba binafsi yenye mbegu Bora.

Ninafuga mifugo mbali mbali na kwenye ng'ombe nime weka nguvu kiwango cha maziwa kiko chini Sana walau nikipata jike wa Lita kumi na tano na kuendelea ntashukur vile vile de Bora la mbegu.

Kwa yoyote mwenye taarifa za kutosha ruksa ku share information.

Karibuni kwa mawazo wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzalishaji wa maziwa mengi unategemea na mambo mengi moja ya yake ni envronmental factor(mazingira) mfano ngombe wa kisasa aliye katika mazingira barid anauwezo wakuzalisha maziwa mengi kulko yule alie katika joto kwa sababu ya stress ya joto .kitulo ni sehem inayosemekan kua moja ya mazingira bora zaid hapa tanzania katika kufugia ngmbe n wengn kama kondoo na mbuzi hvo kam ataend kuchkua mbegu hakikishe mazngira anayofugia ni bora na utunzaji bora pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzalishaji wa maziwa mengi unategemea na mambo mengi moja ya yake ni envronmental factor(mazingira) mfano ngombe wa kisasa aliye katika mazingira barid anauwezo wakuzalisha maziwa mengi kulko yule alie katika joto kwa sababu ya stress ya joto .kitulo ni sehem inayosemekan kua moja ya mazingira bora zaid hapa tanzania katika kufugia ngmbe n wengn kama kondoo na mbuzi hvo kam ataend kuchkua mbegu hakikishe mazngira anayofugia ni bora na utunzaji bora pia

Sent using Jamii Forums mobile app
Asant mkuu management iko vzr kuanzia chanjo had lishe niliye nae anatoa Lita tatu na nusuu sasa kutok tano natak kubadilisha
 
Asant mkuu management iko vzr kuanzia chanjo had lishe niliye nae anatoa Lita tatu na nusuu sasa kutok tano natak kubadilisha
Sawa mkuu sasa haya ni mambo yanaaffect uzalishaji wa maziwa kam ifuatavyo
1.upatikanaji wa chakula na maji.
2.umri na uzito.
3.magonjwa (mastitis inaathiri zaid uzalishaji wa maziwa).
4.hali ya hewa (temperature and humidity).
5.breed.
6 .dry period (ni vema kumpumzsha kukamuliwa ngmbe ndani ya siku 60 kabla y kuzaa ).
7.stress .
8.mimba .
9.milking frequency (unakua mara ngap kwa siku ).
10.milking interval (unakamua kila baada ya mda gani ndan ya siku).
Angalia then uliza swali tujue unakosea wapi najua katika hayo kuna sehem yaweza kua unakosea


Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Nilipita mitaa ya Nadanya huko umasaini, nikaona kundi kubwa la ndama mchanganyiko, wakubwa na wadogo. Nikashawishika kuuliza bei. Bei inacheza kati ya laki tatu mpaka laki nne.

Nikasema moyoni, nikiwanunua kumi hawa ndama madume, kisha niwahasi. Baada ya mwaka mmoja ninaweza pata ada ya watoto bila taabu. Kwa sasa dume mmoja mzuri pale Dar anaweza fika milioni moja bila udalali. Kwa wenye maeneo ya kufugia madume yaliyohasiwa hii ni biashara nzuri.
Mkuu upo nkuulize kitu?
 
Hizo ni mbegu za ng'ombe wa nyama au wa maziwa?
Utaalamu wa kupandisha ng'ombe kwa chupa (AI) ni mdogo sana
Mi nafuga na lastly niliamua kununua dume
Hii option unaweza kuipinga sana theoretically lakini tulio na ng'ombe au shamba lenye majike kumi na zaidi nunua dume biashara imeisha
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom