dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Naongea kama mwananchi na kushauri kuwa kumwendekeza huyu mwarabu wa Egypt's ni hasara kwa taifa na uharibifu wa mradi na uasili wake wa stiegler's gorge unapotea kwa sababu zifuatazo.
1. Hawa waarabu wa Misri kutoka Elsewedy electric na Arab contractors kutoka Misri hawana utaalamu wowote wa ujenzi wa bwawa kubwa kama la mwalimu nyerere wanatembelea nyota ya mchina waliyempa almost 90% ya mradi. Huyu mwarabu hata idea ya mining kwa manpower aliyokuja nao ni zero kabisa. Wazawa ndio wanaowafundisha kazi hawa wanaojiita maengener toka misri.
Ulipuaji wa miamba inafanyika kama vile hakuna site plani ya kujua kazi inatokea hapa inaenda kule wao kila siku wanakuja na plan mpya yaani haijulikani kesho itafanyika kazi gani.
2. Walio wengi wanahusika security kuhakikisha nani kaingia site, katoka na nini na kuandaa vibali pia administration na accomodation ambapo nadhani hii kazi wazawa kupitia suma jkt wanaweza kuifanya.
3. Wafanyakazi wengi wazawa mikataba yao na maslai yao sio mazuri na mahusioano kati ya mwarabu na mtanzania yako kibaguzi utadhani enzi za utumwa, wana mentality za kitumwa sana na kutomjali mwafrika.
4. Kazi inayoonekana inafanyika anafanya mchina toka kampuni ya Sinohydro akiwa na kampuni zake kama CBRC ndio wanafanya kazi na unaona kazi ya mchina inatoka hapa kwenda kule na sio mwarabu ambaye kama kama dalali.
5. Uongozi wa tanesco kama mwenye mradi pamoja na teku inaonekana hakuna umakini na ufatiliaji either wanajua na wasafikisha ila hakuna maamuzi au kuna kuwindana na uwoga kutoka juu.
Ushauri wangu
1. Kama hakuto athiri napendekeza huu mradi angepewa mchina utaisha kwa wakati ila huyu mwarabu hasara iliyo mbele ni kubwa sana katika pesa na wakati.
1. Hawa waarabu wa Misri kutoka Elsewedy electric na Arab contractors kutoka Misri hawana utaalamu wowote wa ujenzi wa bwawa kubwa kama la mwalimu nyerere wanatembelea nyota ya mchina waliyempa almost 90% ya mradi. Huyu mwarabu hata idea ya mining kwa manpower aliyokuja nao ni zero kabisa. Wazawa ndio wanaowafundisha kazi hawa wanaojiita maengener toka misri.
Ulipuaji wa miamba inafanyika kama vile hakuna site plani ya kujua kazi inatokea hapa inaenda kule wao kila siku wanakuja na plan mpya yaani haijulikani kesho itafanyika kazi gani.
2. Walio wengi wanahusika security kuhakikisha nani kaingia site, katoka na nini na kuandaa vibali pia administration na accomodation ambapo nadhani hii kazi wazawa kupitia suma jkt wanaweza kuifanya.
3. Wafanyakazi wengi wazawa mikataba yao na maslai yao sio mazuri na mahusioano kati ya mwarabu na mtanzania yako kibaguzi utadhani enzi za utumwa, wana mentality za kitumwa sana na kutomjali mwafrika.
4. Kazi inayoonekana inafanyika anafanya mchina toka kampuni ya Sinohydro akiwa na kampuni zake kama CBRC ndio wanafanya kazi na unaona kazi ya mchina inatoka hapa kwenda kule na sio mwarabu ambaye kama kama dalali.
5. Uongozi wa tanesco kama mwenye mradi pamoja na teku inaonekana hakuna umakini na ufatiliaji either wanajua na wasafikisha ila hakuna maamuzi au kuna kuwindana na uwoga kutoka juu.
Ushauri wangu
1. Kama hakuto athiri napendekeza huu mradi angepewa mchina utaisha kwa wakati ila huyu mwarabu hasara iliyo mbele ni kubwa sana katika pesa na wakati.