ILLICH
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 237
- 180
Hivi changamoto ni mradi haufai au changamoto ni uendeshaji mbovu wa mradi?kwenye mwendokasi umesema vyema,abiria wapo wakutosha,Shida nini?nadhani itafutwe dawa ya usimamizi na uendeshaji mzuri wa hii miradi na sio kusema haifai kabisaNimewahi kuhoji zaidi ya mara moja humu jukwaani kwa washabiki wa hiyo reli ya SGR, je ni faida gani inapatikana kutoka kwenye reli ya kati na TAZARA, mpaka tuamini SGR itakuwa na ufanisi kuliko hizi zilizopo? Sioni majibu ya maana zaidi ya propaganda mfu. Nilisema iwapo watu wanaamini hiyo SGR itakuwa na ufanisi,ni kipi kinafanya huu mradi wa mwendo kasi uendeshwe kwa ufanisi duni, wakati abiria ni wa kumwaga?