Mradi wa nyumba za kupanga wa Dr. Hussein Mwinyi Dar

Dr. Hussein Ali Mwinyi Uwezekano Mkubwa wa kumrisi Rais Jakwaya atakapomaliza kipindi chake cha miaka mitano ijayo .
 
Dr. Hussein Ali Mwinyi Uwezekano Mkubwa wa kumrisi Rais Jakwaya atakapomaliza kipindi chake cha miaka mitano ijayo .

The disgusting truth is that this is not that farfetched!

Despite all the scandals and Mbagalagate to ice the cake!
 
Project
Sea View Apartments


Status
July – December 2007 All detailed designs and bills of quantities completed. Building permit obtained in January 2008 Construction due to start


Client
Dr. Hussein Ali Mwinyi P. O. Box 9380
Dar es Salaam


Description
A 12 storey apartments building with 27 luxurious apartments; 1st to10th floor accommodating 5 duplex apartments occupying the middle, 20 deluxe apartments, two on either side of the floors; the 11th floor accommodating 2 identical penthouses.


Estimated cost
Tshs. 10 billion

Jo,
Ningependa niwarudishe nyuma kidogo. Makadirio ya jengo hilo pamoja na Ghasia zake zote ni Tzsh 10 billion, na kijumba cha BOT (Ndulus) ni Tzsh 1 billion. (Mizani yangu inashindwa kufanya kazi) Naomba mjaribu zenu.
 
Si ajabu huyu Hussein Mwinyi, akiwa kama Waziri wa Ulinzi, atakuwa yumo kwenye dili za kusafirisha silaha haramu (weapons smuggling) kwenye nchi zinazopakana na Tanzania (And possibly beyond, kama Southern Sudan) akishirikiana na vigogo wa JWTZ kama General Mboma?
 
kama Ujasusi wako kusema Dr. Mwinyi kasomea Uarabuni..basi wewe si Jasusi ni Unafanana na Shigongo..kwa Udaku..km ukisema hujui huwezi kuitwa Mjinga...!!!
Tuambie basi udaktari wake aliupatia wapi.
 
Chanzo cha mtaji kipi batili? Unaweza kukitaja na ubatili wake uko wapi? So far kila kitu ni speculation tu, nimempa Jasusi challenge kutetea speculations zake (mind you, si kuthibitisha, kutetea tu beyond reasonable doubt, anaanza kutoa udhuru kwamba hayupo tanzania)
Sasa ndugu yangu wewe si corporate Lawyer? hivi mtaji ni fedha tu? Mtaji unaweza kuwa ni kiwanja/jengo/mashine/gari nk Sasa hapa hicho kiwanja/nyumba alipata kwa njia halali? kwamba kilikuwa kinauzwa basi ikawa open tender kwa anayetaka nk , au ilikuwa ni closed hamna ushindani mnunuzi ni moja tu.....
 
Sisi wengine tunasubiri kuona jinsi watakavyotenganisha SIASA na BIASHARA hasa kwa hawa vigogo walioko madarakani kwa sasa.
 
yap tabu hapa ni namna ya huyu jamaa atavyorun biashara na siasa, kwani lazma atacompromise kimoja, na hicho kimoja ni uongozi wa siasa! thats why hatutakaa tufanikiwe!
 
Sasa ndugu yangu wewe si corporate Lawyer? hivi mtaji ni fedha tu? Mtaji unaweza kuwa ni kiwanja/jengo/mashine/gari nk Sasa hapa hicho kiwanja/nyumba alipata kwa njia halali? kwamba kilikuwa kinauzwa basi ikawa open tender kwa anayetaka nk , au ilikuwa ni closed hamna ushindani mnunuzi ni moja tu.....

Naona unanichanganya na ma corporate lawyers sasa.

Wewe umesema mtaji batili, nakuuliza batili kivipi na wewe unanijibu kwa swali "alipata kwa njia halali?" . Burden of proof iko kwako wewe accuser.Toa data, sio unadandia magari tu.
 
Jijipoji...

You deserve a ban, not because Dr. Mwinyi sio fisadi, lakini ni kwasababu bado hujatoa ushahidi kwamba ni fisadi, ulichoonyesha ni kwamba ana apartment... to be rich si ufisadi na to be poor si cleanliness!!!

Ulichotakiwa kufanya ni kuchambua hizo resources zimetoka wapi!!

Najaribu pia kuangalia ana courage gani kuweka jina lake? mbona akina rostam, lowassa wanatumia other names zaidi?? yeye ni mjinga? naive? au vipi?

justify or delete the post

Nimesoma post ya Jojipoji na sijaona kama amedai kuwa Dr. Mwinyi ni fisadi. Mimi nilivyoelewa ni kuwa alitaka kutoa taarifa tu kuwa huyu mheshimiwa ana huu mradi wa kujenga nyumba. Na mimi naona ni sawa tu hasa ukizingatia kuwa Dr. Mwinyi ni kiongozi mkubwa nchini.
 
Nimesoma post ya Jojipoji na sijaona kama amedai kuwa Dr. Mwinyi ni fisadi. Mimi nilivyoelewa ni kuwa alitaka kutoa taarifa tu kuwa huyu mheshimiwa ana huu mradi wa kujenga nyumba. Na mimi naona ni sawa tu hasa ukizingatia kuwa Dr. Mwinyi ni kiongozi mkubwa nchini.

Title ya thread ime badilishwa mkuu. Mwanzo ilikua ikisomeka "Ufisadi wa Dr. Hussein Mwinyi" na hata sasa hivi ukimquote mtu utaona title gani inatokea.
 
Chanzo cha mtaji kipi batili? Unaweza kukitaja na ubatili wake uko wapi? So far kila kitu ni speculation tu, nimempa Jasusi challenge kutetea speculations zake (mind you, si kuthibitisha, kutetea tu beyond reasonable doubt, anaanza kutoa udhuru kwamba hayupo tanzania)
Sasa ndugu yangu wewe si corporate Lawyer? hivi mtaji ni fedha tu? Mtaji unaweza kuwa ni kiwanja/jengo/mashine/gari nk Sasa hapa hicho kiwanja/nyumba alipata kwa njia halali? kwamba kilikuwa kinauzwa basi ikawa open tender kwa anayetaka nk , au ilikuwa ni closed hamna ushindani mnunuzi ni moja tu.....

...well said!

na ikithibitika alikipata kiwanja kwa njia halali Mheshimiwa huyu ataombwa radhi? Haikuwa ajabu enzi za Mwalimu waheshimiwa kujenga mitaa ya Seaview, na huenda ameachiwa urithi na wazee wake.

Hakuna ajabu yeyote Dr. Mwinyi kuingia ubia na wawekezaji fulani kujenga apartments Blocks.

Mfano; Maeneo mengi ya Upanga utakuta hizo Blocks zenye majina ya 'Clients' ambao ni watoto/wajukuu wa wazee waliokuwa wanamiliki hizo plots miaka ya 70's... ambazo wengi wao wameingia mikataba yaku-lease plots zao kwa wawekezaji.
 
Aisee Tata umenena! Hakuna mahali JojiPoji anaonyesha au kusema ufisadi. Katoa tu taarifa. Nashannga Kinyambiss kukurupuka hivyo na kututukana wna JF wote, kwamba tumo choo cha bar! Angalia kichwa cha habari "Mradi wa nyumba za kupanga wa Dr. Hussein Mwinyi Dar "..the soma habari yenyewe.....Project
Sea View Apartments



Status
July – December 2007 All detailed designs and bills of quantities completed. Building permit obtained in January 2008 Construction due to start


Client
Dr. Hussein Ali Mwinyi P. O. Box 9380
Dar es Salaam


Description
A 12 storey apartments building with 27 luxurious apartments; 1st to10th floor accommodating 5 duplex apartments occupying the middle, 20 deluxe apartments, two on either side of the floors; the 11th floor accommodating 2 identical penthouses.


Estimated cost
Tshs. 10 billion


Attached Files
docx.gif
Mwinyi H.docx (291.1 KB, 0 views)
************************************
Kun neno ufisadi humo? au lolote linalomaanisha hivyo? Au limo ndani ya Attachement, kwani nayo haifunguki.
Mimi niko addicted na JF...una maana mimi niko addicted kuwa choo cha bar? Kinyambiss tafadhali ndugu.
 
Aisee Tata umenena! Hakuna mahali JojiPoji anaonyesha au kusema ufisadi. Katoa tu taarifa. Nashannga Kinyambiss kukurupuka hivyo na kututukana wna JF wote, kwamba tumo choo cha bar! Angalia kichwa cha habari "Mradi wa nyumba za kupanga wa Dr. Hussein Mwinyi Dar "..the soma habari yenyewe.....Project
Sea View Apartments



Status
July – December 2007 All detailed designs and bills of quantities completed. Building permit obtained in January 2008 Construction due to start


Client
Dr. Hussein Ali Mwinyi P. O. Box 9380
Dar es Salaam


Description
A 12 storey apartments building with 27 luxurious apartments; 1st to10th floor accommodating 5 duplex apartments occupying the middle, 20 deluxe apartments, two on either side of the floors; the 11th floor accommodating 2 identical penthouses.


Estimated cost
Tshs. 10 billion


Attached Files
docx.gif
Mwinyi H.docx (291.1 KB, 0 views)
************************************
Kun neno ufisadi humo? au lolote linalomaanisha hivyo? Au limo ndani ya Attachement, kwani nayo haifunguki.
Mimi niko addicted na JF...una maana mimi niko addicted kuwa choo cha bar? Kinyambiss tafadhali ndugu.

Title ya thread ime badilishwa mkuu. Mwanzo ilikua ikisomeka "Ufisadi wa Dr. Hussein Mwinyi" na hata sasa hivi ukimquote mtu utaona title gani inatokea.

Nadhani mods walifanya kosa kwa kuama kumodify title ya thread maana ina cause confusi kwa nyie mlioingia baadae kwenye mjadala.
 
...well said!

na ikithibitika alikipata kiwanja kwa njia halali Mheshimiwa huyu ataombwa radhi? Haikuwa ajabu enzi za Mwalimu waheshimiwa kujenga mitaa ya Seaview, na huenda ameachiwa urithi na wazee wake.

Hakuna ajabu yeyote Dr. Mwinyi kuingia ubia na wawekezaji fulani kujenga apartments Blocks.

Mfano; Maeneo mengi ya Upanga utakuta hizo Blocks zenye majina ya 'Clients' ambao ni watoto/wajukuu wa wazee waliokuwa wanamiliki hizo plots miaka ya 70's... ambazo wengi wao wameingia mikataba yaku-lease plots zao kwa wawekezaji.

Kiwanja kilikuwa cha NHC na sidhani kabla ya utaifishaji wa 1967 babayake alimiliki jengo hapo Seaview
 
Sasa ufisadi ukowapi?? Hii heading ni defamatory kwasababu hakuna ushahidi.. infact hakuna ata accusation ya maana.. Kujenga apartment ndio ufisadi??? Au kufanya project ya 10million dollars ndio ufisadi? Kwanini alieleta thread hajaongelea funding jamaa katoka wapi..ameconclude kabla hajatoa ushahidi wowote ata theoretical..lol That is too weak and too speculative ndio maana inakera watu wakiandika vitu vya hovyo namna hii. I'm just saying.

mimi cjaona sehemu ya mtoa maada alipoconclude kuhusu how the fund for the project came about, yeye ametoa thread yake just to show people and discuss how the project is going on, cjaona neno hata moja la ufisadi, it just came in peoples suggestion whereby people are worried of where that sum is coming from, that is it people
 
Back
Top Bottom