Ujenzi wa maabara kwa shule za kataKama upi?
Ujenzi wa maabara kwa shule za kataKama upi?
Hizo walichangishwa waalimu. Na bado hazikuwa na viwango kwa maana ya vifaa. Vifaa vilikuja kusambazwa na JPM kwa kutumia magari ya jeshi.Ujenzi wa maabara kwa shule za kata
Mh!!Hizo walichangishwa waalimu. Na bado hazikuwa na viwango kwa maana ya vifaa. Vifaa vilikuja kusambazwa na JPM kwa kutumia magari ya jeshi.
Simbishani na walioacha kunyonya juzi!Labda Unaota wewe. unakumbuka ombi la Riziwani kwa Jpm 2015?
Ile 80% walipewa wachinaMh!!
na vp nishati ya gesi toka mtwara hadi kinyerezi?
Huu ni upi na ule wa JK ni upi ? Nakumbuka ulikuwepo mradi mwingine pale Chalinze 2002 to 2010 hivi .......naomba ufafanuziCHALINZE
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso amekagua na kuridhika kuruhusu maji yaanze kutumiwa na wananchi katika maeneo ya Chalinze ambapo miundombinu imekamilika. Hizi ni habari njema kwa wananchi wa Chalinze ambao kwa muda mrefu wanahangaika na shida ya maji. Kwa upande wa Mbunge wa Jimbo la Chalinze amemshukuru Hayati Rais John Magufuli kwa kuridhia kuanzisha mradi na Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha anaukamilisha mradi huu.
Mbunge alieleza kutambua mchango wa wote kwa kusema kuwa "...kiungwana Usipomshukuru Binadamu mwenzio kwa kidogo , hauwezi mshukuru Mwenyezi Mungu kwa kikubwa.
Mhe Ridhiwani Kikwete, Mbunge wa Jimbo la Chalinze Mkoani Pwani.
View attachment 2001671
View attachment 2001672
View attachment 2001673
View attachment 2001674
Mradi gani ulifikia 80+%wa kikwete ambao haujakamilishwaKuna miradi ya kikwete ilifikia 80+% na haikumalizwa (kwa makusudi), km huyu ssh anaimalizia kwa upendo tu ya mwenzie basi anaxtahili sana pongezi
Wewe unazungumzika kitu usichokijua , huo mradi unaozungumziwa haukuanza kipindi cha kikwete?Mradi wa Chalinze ulianza tangu enzi za Kikwete na ulijengwa na Wachina. Pump house pale Wami na matenki pande zote mbili kwenda Himo na kuja Chalinze karibu yote yalikuwa yamekamilika.
Kweli raisi wa miundo mbinu kaitendea haki miundo mbinuNi tofauti,huu sasa unatoa maji ruvu sio wami,ulianza majuzi wakati wa mwendazake ,Rais wa miundombinu mbinu Yule,kwa apo anastaili pongezi
Hivi ni kuwa watu hamsomi? Hapo ridhiwani kasema anashukuru Magufuli kwa kurididhia kuanzishwa mradi.Huu ni upi na ule wa JK ni upi ? Nakumbuka ulikuwepo mradi mwingine pale Chalinze 2002 to 2010 hivi .......naomba ufafanuzi
Wewe ndio huelewi.....nataka kujua ule zamani uli fail ulikufa au upgrade au kitu gani....mbona unahamisha magoliHivi ni kuwa watu hamsomi? Hapo ridhiwani kasema anashukuru Magufuli kwa kurididhia kuanzishwa mradi.
Ungekuwa ule wa jk Wala asingesema hayo