Ikwanja
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 2,082
- 581
Ndugu wana JF, Jana serikali ya magamba kupitia jeshi la zimamoto wameanzisha mradi wa kukusanya mihela kwa ajili ya uchaguzi ujao, hapa naambatanisha ninachomaanisha ili wote kama bado hamjaona muone.
My Take.
Hivi kwenye suala la zima moto kipi cha muhimu, sticker au Fire extinguisher? maana naona sasa tutakuwa tunalipia sticker kulingana na ukubwa wa gari yaani CC. halafu wanasingizia kuwa kutakuwa kunafanyika inspection pale fire ndo wakupatie hiyo sticker, jamanii huo si wizi mchana kweupe kweli, Hivi ni huduma gani ambayo tunalazimika kulipia kwa gharama zote hizi kama sio kwa ajili ya hela ya kampeni? hivi huo ukaguzi watakuwa wanakagua nini? why all these forces wakati huu?
Nchi hii ni lini wizi na justification za uongo zitaacha? naomba wazalendo tulipigie kelele hili suala.
nawasilisha
My Take.
Hivi kwenye suala la zima moto kipi cha muhimu, sticker au Fire extinguisher? maana naona sasa tutakuwa tunalipia sticker kulingana na ukubwa wa gari yaani CC. halafu wanasingizia kuwa kutakuwa kunafanyika inspection pale fire ndo wakupatie hiyo sticker, jamanii huo si wizi mchana kweupe kweli, Hivi ni huduma gani ambayo tunalazimika kulipia kwa gharama zote hizi kama sio kwa ajili ya hela ya kampeni? hivi huo ukaguzi watakuwa wanakagua nini? why all these forces wakati huu?
Nchi hii ni lini wizi na justification za uongo zitaacha? naomba wazalendo tulipigie kelele hili suala.
nawasilisha