Mradi wa Chuo Cha Mafunzo

Yes or No

Member
Aug 26, 2009
36
6
Hali zenu wadau,

Nikiwa mwenye kupenda kutoa mafunzo kwa watu wa kada mbalimbali nakusudia kuanzisha Training College katika kiwango cha ngazi ya chini kwa wahitimu std 7 - form six. Nina akiba ya about 10M na ninataraji kukisajili VETA na sio kufanya usanii. Nipo Dsm na pesa hiyo nimeiraise kupitia shughuli zangu nyingine ambazo nitaendelea kuzifanya mpaka mradi utakapoimarika zaidi.

Najua mradi wa kama huo haulipi haraka ila nina passion nao na naamini ni sustainable ukisimamiwa vizuri.

Naomba ushauri wa jinsi ya kuanza. Nipangishe jengo na kulipa sehemu ya akiba yangu au nitafute kiwanja hata kidogo pembeni ya mji na kuanza ujenzi hata wa chumba kimoja? Ujenzi najua una gharama na inategemea na eneo kwani kwa mradi huo umeme na maji ni vitu vya lazima. Lakini kwa upande mwingine, ukipanga nyumba kwa Tsh 500,000/= kwa mwezi ni sawa na 6M kwa mwaka kwa pango tu. Na kama mjuavyo mwaka wa kwanza unaweza usilipe sana.

Je nifuate njia ipi?

Natanguliza shukrani.
 
Hali zenu wadau,

Nikiwa mwenye kupenda kutoa mafunzo kwa watu wa kada mbalimbali nakusudia kuanzisha Training College katika kiwango cha ngazi ya chini kwa wahitimu std 7 - form six. Nina akiba ya about 10M na ninataraji kukisajili VETA na sio kufanya usanii. Nipo Dsm na pesa hiyo nimeiraise kupitia shughuli zangu nyingine ambazo nitaendelea kuzifanya mpaka mradi utakapoimarika zaidi.

Najua mradi wa kama huo haulipi haraka ila nina passion nao na naamini ni sustainable ukisimamiwa vizuri.

Naomba ushauri wa jinsi ya kuanza. Nipangishe jengo na kulipa sehemu ya akiba yangu au nitafute kiwanja hata kidogo pembeni ya mji na kuanza ujenzi hata wa chumba kimoja? Ujenzi najua una gharama na inategemea na eneo kwani kwa mradi huo umeme na maji ni vitu vya lazima. Lakini kwa upande mwingine, ukipanga nyumba kwa Tsh 500,000/= kwa mwezi ni sawa na 6M kwa mwaka kwa pango tu. Na kama mjuavyo mwaka wa kwanza unaweza usilipe sana.

Je nifuate njia ipi?

Natanguliza shukrani.


kaka kwanza nikupe hongera
ningependa nikuulize je una cv gani?

Lakini kabla ujanijibu ningependa kusema kwamba wapo watu na hasa humu jamvini waliwai kujitokaeza wanautalamu wa kuanda any kind of busness,nilichukua namba zao najalibu kuzitafuta ntakupatia.hawa wanaweza kukusaidia
pia ngependa kushauri kwamba kwa mtaji huo ni lazima uanze kwa rent nyumba hilo halina ujanja.ikiwezekana jaribu kutafuta wataalamu wa mambo ya elimu au wazoefu wakusaidie
je ni mafunzo gani utatoa?
nakutakia mafanikio mema
 
wazo lako ni zuri.nakushauri utafute eneo ktk miji mipya e.g kigamboni,Mbezi mwisho,mbande ,Bunju etc.maeneo hayo unaweza kupata eneo kwa 5mil or less.baada ya hapo jenga Darasa na Admin office .fungua chuo.weka matangazo ya bei rahisi.next ingiza timu benki ujitambulishe,after 6 months wakishaona cashflow yako wanaweza kukupa pesa.vinginevyo VIZIA grants za JIKA na wengineo/
i wish u all the best. nina mpango kama wako ,ila bado uko ktk drawing board
 
mkuu wazo zuri

i advice you to prepare a sound business plan that outlines everything , hii ndiyo itakuwa mwongozo wako na pia ni rahisi kumuelewesha mdao yeyote akasaidia including funding sources
 
Back
Top Bottom