Mradi wa Bomba la Maji la Bilioni 200! - Kashfa yanukia?

Mshiiri

JF-Expert Member
Jun 16, 2008
2,012
507
Nahabarishwa kuwa kalipua 2bn wizara ya maji imeliwa na Mkulu Gulam


Mwenye info atujuze wanajf
 
Last edited by a moderator:
Nahabarishwa kuwa kalipua 2bn wizara ya maji imeliwa na Mkulu Gulam
 
Nahabarishwa kuwa kalipua 2bn wizara ya maji imeliwa na Mkulu Gulam

Kuwa makini, wakati mwingine mbunge anaomba ufafanuzi tu, na baada ya muda akipewa ufafanuzi kila kitu kinarudi mahali pake.

Bomu linakuwa limelipuliwa bali linapokosa majibu! Nadhani waziri wa maji hata hajajibu... au sio Mshiiri?
 
Dr Slaa alikuwa anaomba maelezo khs mradi wa maji kupeleka Shinyanga toka Lake Victoria uliogharimu Tsh 2.1 bn kuwa tendering process haikufuatwa na kuna kampuni ilipewa tender katika mazingira ya rushwa!
 
alichosema slaa lazima kiungwe mkono na wabunge wapenda taifa letu. kwa taifa haliwezi kukua kukiwa na rushwa au ufisadi au udhalimu na pengine siasa za uoga.
 
Dr Slaa alikuwa anaomba maelezo khs mradi wa maji kupeleka Shinyanga toka Lake Victoria uliogharimu Tsh 2.1 bn kuwa tendering process haikufuatwa na kuna kampuni ilipewa tender katika mazingira ya rushwa!
 
Hizo ni tuhuma au bomu? Tuhuma na bomu vinafanana? Au tuhuma zinakuwa bomu baada ya kamati kuundwa, kufanya uchunguzi na kutoa report?

Tafakari!
 
Dr Slaa alikuwa anaomba maelezo khs mradi wa maji kupeleka Shinyanga toka Lake Victoria uliogharimu Tsh 2.1 bn kuwa tendering process haikufuatwa na kuna kampuni ilipewa tender katika mazingira ya rushwa!

Navyfahamu mimi gharama ya mradi wa maji kutoka L. Victoria kwenda Shinyanga siyo Sh 2.1bn. awali ulikadiriwa kugharimu Sh 81bn/- na hii baadaye ikapanda hadi 150bn/-.

Hapa kuna mikono ya watu wakubwa, wamevuta kama vile hawakuwa na akli nzuri. Ni bomu litakalotikisa nchi kweli kweli na kufanya Richmond chamtoto!
 
Nauliza tu, na wala sitii vijembe. Hivi katika Bunge letu kuna uwakilishi wa CUF? Kama wapo kwani wao huwa hawaoni umuhimu kufanya chunguzi kuhusu matukio ya ufisadi na kuwahabarisha wananchi kupitia Bungeni, au hata popote pale nje ya Bunge badala ya viongozi wao kutoa tuhuma za juu juu, na zingine zikiwz za kuwapigia debe mafisadi?

Hivi kweli Chadema wanakula njama na CCM kuidhoofisha CUF?

Baada ya haya nasema: HONGERA SANA DR SLAA, KEEP IT UP - YOU ARE A TRUE SON OF THE SOIL!
 
Nauliza tu, na wala sitii vijembe. Hivi katika Bunge letu kuna uwakilishi wa CUF? Kama wapo kwani wao huwa hawaoni umuhimu kufanya chunguzi kuhusu matukio ya ufisadi na kuwahabarisha wananchi kupitia Bungeni, au hata popote pale nje ya Bunge badala ya viongozi wao kutoa tuhuma za juu juu, na zingine zikiwz za kuwapigia debe mafisadi?

Hivi kweli Chadema wanakula njama na CCM kuidhoofisha CUF?

Baada ya haya nasema: HONGERA SANA DR SLAA, KEEP IT UP - YOU ARE A TRUE SON OF THE SOIL!

Kaka/Dada nikupongeze kwa kung'amua hilo. Waswahili husema "Hilo nalo neno". Yaani umegusia jambo la maana lenye kupaswa kujadiliwa. Naweza kusema nguvu kubwa au jeuri kubwa ya CHADEMA inatoka kwa Dr. Slaa na Zitto. Lakini hasa hasa kwa Dr. Slaa. Dr anastahili pongezi kwenye hili. Huyu ndio anafanya CHADEMA iwe hai na kuweza kuleta upinzani kwa CCM. Huyu ndio anatia hamasa watanzania waliochoka na uongozi mbovu wa CCM.

Lakini tukirudi kwenye hoja yako, ni kweli kwamba viongozi wa CHADEMA ndio wamekuwa wapasua mabomu. Enzi zile baba yetu Mrema ndio alikuwa mpasua mabomu mkuu. Nadhani yeye ndio muasisi wa haka kamsemo ka "bomu". Sasa zama za Mrema zimepita na sasa ni zama za Dr Slaa. Wenzetu wengine wa upinzani naona wamelala. Hawana kitengo cha "Research and Development". Au labda zama zao zitakuja. Maana ilianza kwa Mrema, sasa Dr. Slaa, na labda kesho itakuwa Hamad Maulid au Prof Lipumba.
 
Hizo ni tuhuma au bomu? Tuhuma na bomu vinafanana? Au tuhuma zinakuwa bomu baada ya kamati kuundwa, kufanya uchunguzi na kutoa report?

Tafakari!


Zero nimekusikia,,,,,kauli zako zimenikumbusha katuni ya zero kwenye gazeti la mtanzania!
 
Ingekuwa vema kama tungepata habari kamili ili tuisome tuilewe na ndipo tuchangieb hapo ndo tutakuwa tunafanya kazi ya kuelemisha jamii vizuri.
 
Nauliza tu, na wala sitii vijembe. Hivi katika Bunge letu kuna uwakilishi wa CUF? Kama wapo kwani wao huwa hawaoni umuhimu kufanya chunguzi kuhusu matukio ya ufisadi na kuwahabarisha wananchi kupitia Bungeni, au hata popote pale nje ya Bunge badala ya viongozi wao kutoa tuhuma za juu juu, na zingine zikiwz za kuwapigia debe mafisadi?

Hivi kweli Chadema wanakula njama na CCM kuidhoofisha CUF?

Baada ya haya nasema: HONGERA SANA DR SLAA, KEEP IT UP - YOU ARE A TRUE SON OF THE SOIL!


Tena CUF wangesaidia sana kwa uwingi wao bungeni, naona kuna jambo hapo. kuna thread moja iliwahi kuzungumzia kuwa baadhi ya wakubwa wa CUF wapo kwenye payrol ya RA
 
Jana Dr Slaa alikuwa anatwanga maji kwenye kinu. Mapesa yale huwa yanapelekwa kwa mtindo huo halafu zaidi ya nusu ya mapesa hayo huwa yanarudi wizarani wakubwa wanagawana wakiongozwa na Waziri mwenyewe. Ni vigumu mno kuithibitisha rushwa hii ambayo ni ya siku nyingi kwa mawaziri wetu wengi kuzitumia taasisi zilizo chini ya wizara zao kufuja mafedha ya umma. Ndio maana Mwandosya jana alikuwa akimjibu Dr Slaa kwa kejeli na dharau ya hali ya juu.
 
Nami nilishajua hapo watapiga kubwa kama ilivyotokea EL anahusika 100% hapa hana pa kukwepea yale mabomba yote balaa yote ametia mkono wajameni nchi hii haina mwenyewe.....
 
Navyfahamu mimi gharama ya mradi wa maji kutoka L. Victoria kwenda Shinyanga siyo Sh 2.1bn. awali ulikadiriwa kugharimu Sh 81bn/- na hii baadaye ikapanda hadi 150bn/-.

Hapa kuna mikono ya watu wakubwa, wamevuta kama vile hawakuwa na akli nzuri. Ni bomu litakalotikisa nchi kweli kweli na kufanya Richmond chamtoto!
Something very wrong somewhere. Kila mradi tunaoufanya lazima element za ufisadi ziingizwe? Ukienda Tanroads, ukigusa mawizara na kila mradi tunaouona tumefanya halali kuwa hauwezi kufanikiwa mpaka rushwa iingizwe ndani. Very SAD!! Tunajiharibia wenyewe
 
Nilipoona bomba nakajua ile project ya GAZPROM ambayo MoU zishasainiwa ....na kama tukianza kuizungumzia mtaanza ohh ufisadi maana ndio fav word yenu humu...hivo sitii neno mpaka itakapoibuka yenyewe ...haya endeleeni na malumbano
 
Last edited:
WildCat,
Thanks the facts that we have are horrifying. Details will emerge as we proceed. No stone will remain unturned, the truth will surface, it is a matter of time. We dont have to rush. Waziri kuthibitisha kuwa amejiridhisha wakati barua ya Katibu wake Mkuu inasema dhahiri Sheria na Kanuni za PPRA zimevunjwa, then, much is desired!
 
Back
Top Bottom