washamba tu wataje na kwao tujue wanataka mikoa yote iwe Kama darDuh! Pole sana Leo Tanga na nyie mmeshukiwa na JF. Jamani swala la kuendelea bandari ni la serikali. Sasa uvivu wa wazigua na wabondei unatoka wapi? Hivi wanaweza kuwa wavivu halafu wakafyatua pisi kali ninazoziona Tanga?
Kafiri unapata tabu kule raha tuTanga unakwenda dukani saa tano asubuhi kununua soda, unakuta mtoto mdogo anakwamba kaka Juma alalaaa.
Yaani Juma alivyokuwa mvivu kafungua tu duka halafu karudi kulala!. Unabaki kushangaa huyo mtu analalaje wakati muda huo ni joto kali.
Kafiri unapta tabu tafuteni maji safi na salama ndo mjifananish na tang tunawajua kwa meno yenuPole sana mzee wa kuvaa don't touch.
Nilipokujibu hapo juu kifupi, nilikuwa sijasoma andiko lako lote hadi mwisho.kama imetupwa vile ? Mradi huu umefia wapi ?
Umwinyi mwingi sana Tanga.Kafiri unapata tabu kule raha tu
Wakianzisha majimbo naendaKwamba wewe sio Mtanzania na kwenda huko unahitaji Passport ?
Kwanini usiende ukafanye hayo yote ?
Wakiwachwa kuminywa na kuonewa watachakarika tu,Anamaanisha uvivu uliokithiri haongelei utamaduni.
Pwani uvivu na utegemezi ndio asili yao..tangu enzi hizo mpaka sasa..hilo halijifici waarabu waliwaharibu akili..Tanga ilikufa mwaka 90 na kitu kweny miaka 2000 na kitu wagosi wa kaya waliimba ile kunani pale tanga mbona kila kitu kimekufa
Baadhi ya viwanda na wawekezaji walikimbia kenya hata anjari aliambiwa ahame dar akakataa akasema bora asiwekeze izi zote ni juhudi na hujuma
Inashangaza barabara ya kwanza ya lami ,shule ya kwanza, mahakama ya kwanza kila kitu kule ila nyerere alikuja kuua kabisa sababu tunajua aliona kule ni waislamu wengi kama Zanzibar
Na kupandikiza propaganda za kuwaita wavivu tunajua sisi wa ukanda wa bara tuna imani zetu na tamaduni zetu ndo maana leo wengine hawamtaki rais samia kisa mzenji
Wivu kule raha tupu wacha propagandaPwani uvivu na utegemezi ndio asili yao..tangu enzi hizo mpaka sasa..hilo halijifici waarabu waliwaharibu akili..
#MaendeleoHayanaChama
Babu zenu si tuliwatesa hamna ujanja nyie kuzidi watu wa pwaniUmwinyi mwingi sana Tanga.
🤔Tanga ilikufa mwaka 90 na kitu kweny miaka 2000 na kitu wagosi wa kaya waliimba ile kunani pale tanga mbona kila kitu kimekufa
Kwa sasa labour force hutoka popote,SGR ya dar moro na Bwawa la nyaźerere wengi wametoka bara kuja kisaki kufanya kazi.sasa hivi soko la nguvu kazi isiwe sababu,si tuhoji na tuangali Maslahi ya Taifa.Msimsingizie Nyerere watu wa Tanga uvivu umewazidi. Na kupenda fitina zaidi kuliko kutanguliza ubinadamu, nongwa nyingi sana Tanga mjini.