Mradi wa bandari ya Bagamoyo vs reli ya SGR; Mradi gani ambao ungelinyanyua Taifa kwa haraka?

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Oct 28, 2012
18,632
20,974
Hapa namaanisha ujenzi wa bandari ambao mkataba wake ungekuwa mfupi na mapato yake yakawa na mgawanyo wa 50/50 kati ya wajenzi wa bandari na Taifa la Tanzania, vs mradi wa SGR

Kwa binafsi yangu miradi yote hii miwili ni ya muhimu sana endapo tu kama itakuwa na mikataba mizuri iliyo ya wazi itakayojadiliwa kitaifa,sioni ubaya wowote taifa kuwa hata na bandari 10 kwani zipo nchi ambazo chumi zao hutegemea bandari na uvuvi duniani, hivyo kwa uoni wangu hafifu binafsi ningelipendekeza ujenzi wa reli hii by any means kikomo chake kikafikia nchini DRC.
 
Hapa namaanisha ujenzi wa reli ambao mkataba wake ungekuwa mfupi na mapato yake yakawa na mgawanyo wa 50/50 kati ya wajenzi was bandari na taifa la Tanzania, vs mradi wa SGR, kwa binafsi yangu miradi yote hii miwili ni ya muhimu sana endapo tu kama itakuwa na mikataba mizuri iliyo ya wazi itakayojadiliwa kitaifa,sioni ubaya wowote taifa kuwa hata na bandari 10 kwani zipo nchi ambazo chumi zao hutegemea bandari na uvuvi duniani,hivyo kwa uoni wangu hafifu binafsi ningelipendekeza ujenzi wa reli hii by any means kikomo chake kikafikia nchini DRC.
sawa mkuu, yote hii ni katika kurahisisha mawasiliano, uchukuzi na kukuza uchumi
 
Yaani tukiwa na njia mbovu za Mawasiliano na Uchukuzi, uchumi kukua ngumu sana.
 
Hapa namaanisha ujenzi wa bandari ambao mkataba wake ungekuwa mfupi na mapato yake yakawa na mgawanyo wa 50/50 kati ya wajenzi was bandari na taifa la Tanzania, vs mradi wa SGR, kwa binafsi yangu miradi yote hii miwili ni ya muhimu sana endapo tu kama itakuwa na mikataba mizuri iliyo ya wazi itakayojadiliwa kitaifa,sioni ubaya wowote taifa kuwa hata na bandari 10 kwani zipo nchi ambazo chumi zao hutegemea bandari na uvuvi duniani,hivyo kwa uoni wangu hafifu binafsi ningelipendekeza ujenzi wa reli hii by any means kikomo chake kikafikia nchini DRC.
50/50 mwekezaji aki declear loss mnagawana nn?
Wawekezaji karibia wote wana undervalue profit ili walipe kodi kidogo.
Waulize wakenya ni nn Mchina anawafanya na SGR yao inayoendeshwa na wachina...daily wanapata loss huku muda wa kuanza kulipa deni ukiwa umeshafika.
Io bandari km kujenga tujenge wenyewe.
 
50/50 mwekezaji aki declear loss mnagawana nn?
Wawekezaji karibia wote wana undervalue profit ili walipe kodi kidogo.
Waulize wakenya ni nn Mchina anawafanya na SGR yao inayoendeshwa na wachina...daily wanapata loss huku muda wa kuanza kulipa deni ukiwa umeshafika.
Io bandari km kujenga tujenge wenyewe.
Umelisaidia taifa lako vyema mtego kama huo wa loss declaring daily ndio ndio unaoleta umuhimu wa mkataba huu kujadiliwa kitaifa ili tusifungike huko kama wakenya
 
50/50 mwekezaji aki declear loss mnagawana nn?
Wawekezaji karibia wote wana undervalue profit ili walipe kodi kidogo.
Waulize wakenya ni nn Mchina anawafanya na SGR yao inayoendeshwa na wachina...daily wanapata loss huku muda wa kuanza kulipa deni ukiwa umeshafika.
Io bandari km kujenga tujenge wenyewe.
Loh.. Una akili sana wewe mkuu hata mi naunga mkono hoja yako tujenge wenyewe kama hatuna huo uwezo tukope au tuachane nao kwanza ni bora tukope tujenge wenyewe ili mradi ukisha tubaki tunalipa deni ila tukiwa tuna uendesha sisi na kuona fedha yote inayoingia kuliko hao mabepari weupe waanze kusema tunapata hasara huku mda wa kuanza kulipa deni umefika na hera ndo mnategemea hapo nk

All in all viongozi wetu kweli wao hawana mawazo mbadala kama yetu!??? Au wao wanafanya vitu kwa ajili ya matumbo yao yaani kupiga 1% maana wamesoma na wengine ni maprofesa lakini hawana impact wana ingia mikataba ya kijinga ona kama hao ndugu zetu wakenya now wanavoteswa na hao wachina harafu na sisi Tena tufanye upuuzi kama wao kwann tusujifunze kwa wenzetu!???
 
Loh.. Una akili sana wewe mkuu hata mi naunga mkono hoja yako tujenge wenyewe kama hatuna huo uwezo tukope au tuachane nao kwanza ni bora tukope tujenge wenyewe ili mradi ukisha tubaki tunalipa deni ila tukiwa tuna uendesha sisi na kuona fedha yote inayoingia kuliko hao mabepari weupe waanze kusema tunapata hasara huku mda wa kuanza kulipa deni umefika na hera ndo mnategemea hapo nk

All in all viongozi wetu kweli wao hawana mawazo mbadala kama yetu!??? Au wao wanafanya vitu kwa ajili ya matumbo yao yaani kupiga 1% maana wamesoma na wengine ni maprofesa lakini hawana impact wana ingia mikataba ya kijinga ona kama hao ndugu zetu wakenya now wanavoteswa na hao wachina harafu na sisi Tena tufanye upuuzi kama wao kwann tusujifunze kwa wenzetu!???
MIRADI MIKUBWA KAMA HII PIA HUWA NA STUDY MADHUBUTI AMBAYO HUFANYWA KITAALAMU MNO,KIASI HUWEZA KUITATHMINI FAIDA ITAKAYOPATIKANA NI HII NI SABABU MUWEKEZAJI TAYARI HUWA NA METRICS TON ZA MIZIGO STANDBY,PENGINE MKATABA UNAWEZA KUANDIKWA KATIKA KUTOTAMBUA ANY DELAYMENTS AFORE COMES, ZAIDI YA SPECIFIC AGREED GAIN.
 
Shida ule mradi wa Bagamoyo haikuwa bandari tuu ilikuwa pamoja na epz ambayo technically serikali haiwezi kujenga viwanda au kupafanya pakawa operational kama private sector.

Ushauri wangu ni vyema serikali ishirikiane na hao wawekezaji kwa mgawanyo wa hisa Ili kila mtu achangie na kuje kuwe na chombo cha pamoja cha kumonitor Ili kukwepa ule mtego wa kusema tunapata hasara
 
Bwagamoyo tena... Si tulikubaliana huu ni mradi wa kutupiga? Bora tumalizie reli amabyo tulishaianza.

Hiki ni kipimo cha Mama kama anatufaa kua Raisi.
 
Kuna hili jambo watu wanasema la kujenga viwanda pembeni ya bandari...kinachowashinda kujenga hivyo viwanda vitumie bandari iliyopo wakati wanasubiri bandari yao ni nn?

Jibu ni moja, viwanda sio lengo lao kwao bali a means to an end...kwann nasema hivyo?
China kujenga viwanda Africa ni kuua soko la viwanda vyao vya china, wanachoweza kujenga ni kujenga assembly industry km zile za kuunga boda boda.
China anatafta masoko ya bidhaa zao not other way around..yani wajenge viwanda vya ku complete na vilivyopo kwao ili iwe nn, kwamba wanamapenzi sana na sisi au? Kwao bandari kwao ndio lengo ili bidhaa ziingie sio viwanda ili bidhaa zitoke na ku compelete na zao.
Narudia tena, bandari tujenge wenyewe. Tusije ingia mtego utakao watesa hadi wajukuu wetu.
 
Back
Top Bottom