- Thread starter
- #161
Nilipata muda nitajifunza vitu vichache kwakoHivi zile ndege za Mwendazake mnazoshangilia huku zikiendelea kulitia hasara taifa, mmeshawahi kudai uwazi kwenye ununuzi wake?
HIvi unadhani Lowassa ni kilaza namna hiyo?! Jombaa, that's politics... kama politics za Magu na CCM yake ya kutoa 50M kwa kila kijiji, na laptop kwa wanafunzi!!!
Moja ya hoja zinazotolewa na wapinzani wa Mradi wa Bandari ya Bagamoyo ni kwanini isijengwe Bandari ya Tanga!!! Sasa inakushangaza Lowassa akiwa Tanga kwenye kampeni kusema atasitisha Mradi wa Bandari ya Bagamoyo na serikali yake ku-focus Bandari ya Tanga?
Hivi nyie wafuasi wa Magu mmewahi kuoneshwa mkataba upi tangu taifa hili lianzishwe?! Of course, suala la uwazi wa mikataba limekuwa ni kilio cha muda mrefu hadi bungeni, lakini mbona hatuwaoni mkililia kuonesha mikataba kama ya SGR, ununuzi wa ndege, Mradi wa Bwawa la Nyerere, n.k?!
Hivi ni kweli hoja yenu ni kuona mkataba au mnajaribu ku-justify hoja za Magu na kujificha kwenye issue ya mkataba?!
Umetumia vigezo gani ku-conclude hiyo hoja yako?! Magu alipuuza hata miradi ya gas kule kusini, na akaishia kudanganya watu kwamba eti gas imeuzwa bila kutaja wauzaji ni nani, na waliouziwa ni akina, na serikali yake inachukua hatua zipi!!
Je, unataka kusema uwekezaji kwenye gas hauna faida wakati hadi sasa kuna kiasi kikubwa kabisa cha umeme tunaotumia unatokana na gas, wakati ni sehemu ndogo tu ya gas iliyochimbwa hadi sasa!!
Hiyo miradi mingi ni ipi?!
Tunashind